Mwenye mwangaza wa kutumia boom

Daah aisee umempa plan ya ukweli nikikumbuka plan zangu za kitambo mpaka tunafunga malikizo nilikuaga nabaki na hela nyingi tu mpaka zinakutana na za boom la kufungulia chuo daahh kuweka bill cafeteria 1 kilo moja tu kwa jamaa mchaga flani hivi jina nimemsahau...mimi nilikua nanunua mkate maji ya 600 na vocha tu aisee viva UDSM...Beiby..Over..
 
Hemorrhoids lazima ikuhusu,mkate na maji kila siku?
 
jitahidi kupanga matumizi yako kama wadau walivyochangia hapo juu.kumbua elimu ya sasa una we a malizachuo ukasota miaka ya kutosha mtaaani so it better kutake advantage mapemaa
 
Wadau mna ushahuri mzur xana, naamin wengi mmepata mwanga jinsi ya kupiga bajeti ukiwa chuo au vp
 
Km una hulka ya watoto wa kike, tafuta kitaa tu ila usijifanye mkali sana kutembea na wana vyuo. Watadisturb sana burget yako.
 
Epuka sana watoto wa kike ambao ni tegemez.. Bnafs first year simshaur atembee na mwanachuo mwenzake..
 
nyie wenye boom kama mnakula mkate na maji.mm.nisiye na boom.ata kidogo.xndio ntakunywa maji.na ukoka
 
nimekukubali,wengi huwa hawawezi,ndio maana ata kutoboa maisha huwa hawawezi,wanafikiri watakapo pata kazi mambo yatakaa sawa,wakati fedha boom kuna raia ni mshahara na wana watoto,kuna baadhi kwao wako njema ila boom wanaitafuna usiwaige utajuta

We need advice like this one in the society. If possible call me 0768566525
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…