Ndio mkuuKweli we sio wa kike?
Motivation speaker ,hapana Mimi ni mhanga kama weweMambo Fulani Fulani kama yapi toa CODE hizo tumewachoka motivation speaker
Ndo nataka kuoa nikiwa salama baada ya miaka mitatu nitajitokezaNimekuwa nikisikiliza washauri wa masuala ya ndoa Jinsi wanavyoelezea changamoto za na namna ya kukabiliana nazo yaani kama wao wapo sahihi kwenye ndoa zao, badala yake hao motivation speaker ndio vinara wa kuchepuka katika ndoa zao.
Ndio maana nasema kama una ndoa salama jitokeze.
kama ni mwajiriwa serikalin njoo pmSingle baba nipo hapa tuunde timu
Sasa kwanini unatumia username ya kikeNdio mkuu
Support yenu MUHIMUHabari wakuu Mimi Nina certificate ya laboratory technician pia Nina experience ya miaka 3 kuhusu laboratory technician, laboratory analysis, QC,QA pia blending oparetor au syrup oparetor pia naweza kufanya kazi popote pale penye maabara au panapozalishwa bidhaa .yeyote atakaye nisaidia kupata connection ya job nipo tayari kumpa % kadhaa katika mshahara kama shukurani