Mwenye ndoa salama ajitokeze hapa

Miongoni mwa sababu za ndoa kutokuwa salama:-

Kutaka kuishi maisha ya ndoa zingine.

Kuendelea kuishi maisha uliyoishi kabla ya ndoa.

Muhimi: Changamoto hazikosekani na ndoa salama ni nyingi sana ila hazijitangazi.
 
Ndo nataka kuoa nikiwa salama baada ya miaka mitatu nitajitokeza
 
Bora niwe single mother tu kuliko kuwa na mwanaume tegemezi,
kashanizalisha watoto watatu apite kule sitaki hata kumuona uwezo wa kuwalea ninawo.
Single baba nipo hapa tuunde timu
 
Habari wakuu Mimi Nina certificate ya laboratory technician pia Nina experience ya miaka 3 kuhusu laboratory technician, laboratory analysis, QC,QA pia blending oparetor au syrup oparetor pia naweza kufanya kazi popote pale penye maabara au panapozalishwa bidhaa .yeyote atakaye nisaidia kupata connection ya job nipo tayari kumpa % kadhaa katika mshahara kama shukurani
 
Support yenu MUHIMU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…