Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Ilikua ya dem wangu akaamua kuachana nayoSasa kwanini unatumia username ya kike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikua ya dem wangu akaamua kuachana nayoSasa kwanini unatumia username ya kike
Kama ndoa haina changamoto hiyo sio ndoaNimekuwa nikisikiliza washauri wa masuala ya ndoa Jinsi wanavyoelezea changamoto za na namna ya kukabiliana nazo yaani kama wao wapo sahihi kwenye ndoa zao, badala yake hao motivation speaker ndio vinara wa kuchepuka katika ndoa zao.
Ndio maana nasema kama una ndoa salama jitokeze.
Iko salama kwasababu hamjajuana kwa undani,na msithubutu kabisa kuanza kuchunguzana na kuchimbuana.Ndoa yangu ni salama, occasionally hua tunazozana, but that normal part of human being.
All in all we are good and love each other insanely.
Sheikh ukiwa mwongo jitahidi uwe na kumbu kumbu 😁Mimi hapa ndoa yangu ipo salama sana ukiona vijana wa skuizi wengi ndoa zao hazipo salama ujue Kuna udanganyifu kati ya mume na mkewe na inapelekea ndoa kuwa ndoano
Jf Wanawake ni wanne tuMimi ndoa yangu ipo salama, HAKUNA MATATA ila mume ndio sina, ila sijaachika, sina ndoa ila bwana ninaye. We huogopi?
Na wewe ukiwa mmojawapoJf Wanawake ni wanne tu
Apana!Na wewe ukiwa mmojawapo
Hapana nini sasa? Wakati mwenye jinsia yako ushajifanyia tathmini na ukajua idadi yenu 😂Apana!
Baada ya kuona comment yako imekaa kama ya mdada hv.... nikaangalia watchlist ya nazonyapia ndo nkaona wadada wapo wanne tuHapana nini sasa? Wakati mwenye jinsia yako ushajifanyia tathmini na ukajua idadi yenu 😂
Nimeipenda mpaka wa akuoe ndo utupe mrejesho.Mimi ndoa yangu ipo salama, HAKUNA MATATA ila mume ndio sina, ila sijaachika, sina ndoa ila bwana ninaye. We huogopi?
Leta kumbukumbuSheikh ukiwa mwongo jitahidi uwe na kumbu kumbu 😁
Ningekumbuka ule uzi ningeleta screenshot ya comment yako ulikua unalalamikia ndoa yakoLeta kumbukumbu
Kulalamika kawaida mkuuNingekumbuka ule uzi ningeleta screenshot ya comment yako ulikua unalalamikia ndoa yako
Kwenye ndoa mnasota sana sema bas tu mshajitia kitanziKulalamika kawaida mkuu