Mwenye ndoa salama ajitokeze hapa

Mwenye ndoa salama ajitokeze hapa

Nimekuwa nikisikiliza washauri wa masuala ya ndoa Jinsi wanavyoelezea changamoto za na namna ya kukabiliana nazo yaani kama wao wapo sahihi kwenye ndoa zao, badala yake hao motivation speaker ndio vinara wa kuchepuka katika ndoa zao.

Ndio maana nasema kama una ndoa salama jitokeze.
Kama ndoa haina changamoto hiyo sio ndoa

Ni lazima mvurugane kimtindo ili mambo yakae Sawa.
 
Ndoa yangu ni salama, occasionally hua tunazozana, but that normal part of human being.

All in all we are good and love each other insanely.
Iko salama kwasababu hamjajuana kwa undani,na msithubutu kabisa kuanza kuchunguzana na kuchimbuana.
 
Akijitokeza mwenye ndoa salama mnistue npo huku ferry nachagua pweza niwauzie baadae
 
Back
Top Bottom