kwa hiyo umekuja kunisemeleaNimekufata upo kmya single mwenzangu
chumbaniUnakwama wap
Usalama wa ndoa ni kuvumiliana tu vinginevyo ni shidaaNimekuwa nikisikiliza washauri wa masuala ya ndoa Jinsi wanavyoelezea changamoto za na namna ya kukabiliana nazo yaani kama wao wapo sahihi kwenye ndoa zao, badala yake hao motivation speaker ndio vinara wa kuchepuka katika ndoa zao.
Ndio maana nasema kama una ndoa salama jitokeze.
Kataa ndoa
Ndoa ni kichaka cha mwanamke kujitajirisha.
Ndoa ni kuuza uhuru wako
Ndoa ni kamari
Jina la mwanachama: Evelyn SaltUmejiunga huku?
NimefikaNimekuwa nikisikiliza washauri wa masuala ya ndoa Jinsi wanavyoelezea changamoto za na namna ya kukabiliana nazo yaani kama wao wapo sahihi kwenye ndoa zao, badala yake hao motivation speaker ndio vinara wa kuchepuka katika ndoa zao.
Ndio maana nasema kama una ndoa salama jitokeze.