Mwenye ndoa salama ajitokeze hapa

Mwenye ndoa salama ajitokeze hapa

Nimekuwa nikisikiliza washauri wa masuala ya ndoa Jinsi wanavyoelezea changamoto za na namna ya kukabiliana nazo yaani kama wao wapo sahihi kwenye ndoa zao, badala yake hao motivation speaker ndio vinara wa kuchepuka katika ndoa zao.

Ndio maana nasema kama una ndoa salama jitokeze.
Usalama wa ndoa ni kuvumiliana tu vinginevyo ni shidaa
 
Nimekuwa nikisikiliza washauri wa masuala ya ndoa Jinsi wanavyoelezea changamoto za na namna ya kukabiliana nazo yaani kama wao wapo sahihi kwenye ndoa zao, badala yake hao motivation speaker ndio vinara wa kuchepuka katika ndoa zao.

Ndio maana nasema kama una ndoa salama jitokeze.
Nimefika
 
Back
Top Bottom