Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hama haraka we mwambie nyoka halambi unga, ovaHabarini ndugu wanaJF,
Baba mwenye nyumba amemleta mganga kutoka kusini huko anadai kwenye nyumba yake kuna mtu anamchezea (mambo ya kichawi), sasa anatulazimisha tulambe ungaunga mweupe nimesikia wanauita 'usembe' ili kumbaini mchawi kwenye nyumba yake.
Binafsi nilikataa kulamba vitu visivyoeleweka na sina hizo imani, ila alinichimba mkwala hadi jtano nimpe jibu nikishindwa nihame kwake.
Dhumuni la kuleta hili jambo kwenu mnipe ushauri wa kufanya sababu alinipa siku tatu ambayo ya mwisho ndio leo na hapa nipo job nafikiria nikirudi home nimpe jibu gani.
Kwa kuongezea tumebaki wapangaji wawili ambao tumekataa kulamba hayo madude yake.
Je, yana madhara yoyote kiafya wataalam wa mambo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Madhara ya kupanga uswahilini.
Nyumba nyingi zina mambo ya ajabu sana hapo watajua yeye ndio mchawi 😬Anaweza lamba unga wa upinde 😉😉
Aisee pole mchimbe mkwara mwambie hayo hujazoea na hulambi unga na utaendelea kukaa hapo mpaka kodi iishehuyu mzee before alikuwa fresh tu sasa alipigwa chini kazini kwao huko baada ya hapo kila mtu anamuona mchawi
Sahihi hapo ndio pa kuanziaKulamba unga iko ndan ya mkataba 😀
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nakushauri umwambie father house kama anataka ulambe unga amwambie mganga wake akupatie 50Kg upikie kabisa ugali
Sasa masuala ya yeye kazini na wapangaji kulamba unga Inahusu nn??huyu mzee before alikuwa fresh tu sasa alipigwa chini kazini kwao huko baada ya hapo kila mtu anamuona mchawi
Ina maana huyo mganga wake hawezi gundua mchawi ni nani mpaka mlambe huo unga 😁huyu mzee before alikuwa fresh tu sasa alipigwa chini kazini kwao huko baada ya hapo kila mtu anamuona mchawi
Na umwambie huyo mganga amfanye manuva arudi kazini akishindwa hapo hakuna mgangahuyu mzee before alikuwa fresh tu sasa alipigwa chini kazini kwao huko baada ya hapo kila mtu anamuona mchawi
Mkuu unaishi dar?sio uswahilini sana ila mwenye nyumba ndio anamambo ya uswahili
Bora wa muone mchawi, kuliko awe team upinde.. dunia imeharibika sana rafiki.. watu kuharibu hatma za maisha ya watu wanaona kawaida kabisaNyumba nyingi zina mambo ya ajabu sana hapo watajua yeye ndio mchawi 😬
Sahihi aanze kwenye mkataba ambane hapo hapo wala hahitaji kusema sijui imani yangu hairuhusu vitu vya kishirikina yeye amuulize kwenye mkataba kuna kipengele.cha kulamba unga ulioletwa na mwenye nyumba?Angalia vizuri mkataba wako, inaweza kuwa kuna hicho kipengele.
Kama hakipo fanya maamuzi
[emoji38]hiiiiiiiih!!Mwambie mganga aonyeshe mchawi yupi wapi. KATAA KULAMBA UNGA
UNGA NI URAIBU, UNGA UNAUA
Tuanzie hapa kwanzaKulamba unga iko ndan ya mkataba 😀
[emoji38]Tuanzie hapa kwanza
Nyumba akiwa mwenye nyumba mnaishi pamoja ni shida.Nakummbuka kuna nyumba nilihama kwa ujinga kama huu wa ushirikina ulio kubuhu.Bora wa muone mchawi, kuliko awe team upinde.. dunia imeharibika sana rafiki.. watu kuharibu hatma za maisha ya watu wanaona kawaida kabisa
Nyumba za kupanga kienyeji mtihani. Panga kwenye nyumba ambazo mwenye nazo kaamua kuipanga kibiashara kama apartments vile.. ila hizi yeye anaishi na wewe unaishi mtatibuana tuNyumba akiwa mwenye nyumba mnaishi pamoja ni shida.Nakummbuka kuna nyumba nilihama kwa ujinga kama huu wa ushirikina ulio kubuhu.