Mwenye nyumba anataka apake rangi kabla mpangaji hajahama, hii ni sawa?

Sema wenye nyumba wengine wana nongwa, mi nyumba niliyokua nakaa kabla sijahamia kwenye kibanda changu mwenye nyumba alinipa week 2 mana nlikua kuna vitu sijamaliza.

Nilimuelekeza kuwa licha ya muda wa kukaa kuisha nahitaji week 2 zaidi kama vipi nimlipe hata nusu kodi ya mwezi, akakataa na kusema nimekaa pale muda mrefu kwa amani hizo week 2 hawezi kunichaji chochote nikae tu kwa amani muda wa kuondoka ukifika nimkabidhi funguo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…