Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #21
Kwahiyo unataka umwambie nini?Naomba namba ya Mwenye nyumba.
Eti huyu naye anawateteaga DPW.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo unataka umwambie nini?Naomba namba ya Mwenye nyumba.
Eti huyu naye anawateteaga DPW.
Ili ukimuona umtongozeWeka picha ya mkeo hapa
Af unacheka weweNaona.unajitekenya mwenyewe
Ndo maanake....yaani wewe uwe umepanga nyumba? Ah wapi...sema ndugu zako au boss wako kapatwa ma dhahama hiyoAf unacheka wewe
Ahahah ungejua basi acha tu sisi wengine tumeanza jitegemea tukiwa wadogo Sana umri ambao ninyi mnatufahamu ndio umri tusha fanikiwa na mnatuona sisi wachawiNdo maanake....yaani wewe uwe umepanga nyumba? Ah wapi...sema ndugu zako au boss wako kapatwa ma dhahama hiyo
Kwamba umefanikiwa? Hahaaa...unavyoombaga ombga ofa humu🤦♂️Ahahah ungejua basi acha tu sisi wengine tumeanza jitegemea tukiwa wadogo Sana umri ambao ninyi mnatufahamu ndio umri tusha fanikiwa na mnatuona sisi wachawi
Sijafanikiwa bado nikifanikiw nitasemaKwamba umefanikiwa? Hahaaa...unavyoombaga ombga ofa humu🤦♂️
Hee..kumbe bado hujafanikiwa🤭..pale umesema umefanikiwa lakiniSijafanikiwa bado nikifanikiw nitasema
Ofa nikitu cha kawaida sana labda kama kwako ni kitu cha bahati mbaya
we jau sana😂Kwamba umefanikiwa? Hahaaa...unavyoombaga ombga ofa humu🤦♂️
Anatutisha maskini na huku tunajua tuko same boat🤦♂️we jau sana😂
Kwa level yangu nimejitahidi sana mkuu age kama yangu bado wapo kwa wazazHee..kumbe bado hujafanikiwa🤭..pale umesema umefanikiwa lakini
AhahhaAnatutisha maskini na huku tunajua tuko same boat🤦♂️
wanafanya marekebisho sioni shida iko wapinimepigiwa simu kuwa nihame wanataka kufanya marekebisho
KudosKwa level yangu nimejitahidi sana mkuu age kama yangu bado wapo kwa wazaz
Huwezi kuona kwani wewe ndio unahishi hapa?wanafanya marekebisho sioni shida iko wapi
Qhahahah wewe unanichokoza kwa nguvu sanaKudos
duh,Huwezi kuona kwani wewe ndio unahishi hapa?
Nimekupa HEKOQhahahah wewe unanichokoza kwa nguvu sana