YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Iwe bomba
Wewe usiongee sana mimi najua, nitakurushia uchague unayoipenda boss [emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iwe bomba
Huu ni uongo uliokomaa, yaani maandiko ya Koran yanasema hivyo. Mbona mambo ya kijamii ikiwemo biashara maandiko hayasemi wanaotakiwa kununua bidhaa yako ni waislam pekee. Anaeamini Koran anafanya biashara na wateja wake mchanganyiko, na anae amini bible yaani mkristo anafanya biashara na wateja wake mchanganyiko. Tutafakari Kwamakini sana Imani kama hizi. Tunategemeana sana tena sana, kama unabisha toa fact Kwa kukanusha hoja hii.Koran 5;51. Enyi mlio amini! (Waislamu) Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki.
DINI YA SHWETANI HII.
Morning
Nipo zangu mkoa napigiwa simu kisa nina mke mzuri alikuwa anakuja kunisalimia mara kwa mara nakaa nyumba kubwa uku nyuma ya nyumba kuna msimamiz wa nyumba ni mwanamke
Sasa mara kwa mara akija wife huwa nakuwa na vitu vingi sana sasa leo nimepigiwa simu kuwa nihame wanataka kufanya marekebisho mimi nimegoma kuhama na nimemuambia wife aende nyumbani hapo
Sina kosa lolote nipo bise na mambo yangu wao ndio wananifwatilia sana nilimshauri mwenye nyumba hamtoe huyo ndugu yake hataki
Khaa sawa bhna ngoja nitulie kwa uncleSi hawajaenda shule leo😂
Sawa bossWewe usiongee sana mimi najua, nitakurushia uchague unayoipenda boss [emoji3][emoji3]
Ahahah nduguAliekwambia una MKE mzuri Ni Nani?
Aku sikukejeli mimi boss wangu..relaksAhahha kejeli ni mbaya sana hivi mtu akisema Amefika sehemu fulani mnaona vitu vya ajabu ni vitu vya kawaida sana
Usisahau kuanua nguo za shemeji ulizofua asubuhiKhaa sawa bhna ngoja nitulie kwa uncle
Lipa Kodi,lipa Kodi alafu acha KumwambiaMorning
Nipo zangu mkoa napigiwa simu kisa nina mke mzuri alikuwa anakuja kunisalimia mara kwa mara nakaa nyumba kubwa uku nyuma ya nyumba kuna msimamiz wa nyumba ni mwanamke
Sasa mara kwa mara akija wife huwa nakuwa na vitu vingi sana sasa leo nimepigiwa simu kuwa nihame wanataka kufanya marekebisho mimi nimegoma kuhama na nimemuambia wife aende nyumbani hapo
Sina kosa lolote nipo bise na mambo yangu wao ndio wananifwatilia sana nilimshauri mwenye nyumba hamtoe huyo ndugu yake hataki
Qhahah sawa ngoja niangalie bas moveUsisahau kuanua nguo za shemeji ulizofua asubuhi
Zitakua zimekauka saivi😂
Kama Kodi yake bado jeYani ugome kuhama nyumba ya mtu?
Sio kweli,tunaishi kila siku na tunakufa mara moja😂😂😂Si unajua tunaishi mara moja tuna kufa mara moja
AhahahahSio kweli,tunaishi kila siku na tunakufa mara moja😂😂😂
Nna kiwine kichwan nimecheka sana dahNimemisi cocktails za paradiso na mandazi ya jehanamu achana na grants za kuzimu
Qhahha nikuagizieNimemisi cocktails za paradiso na mandazi ya jehanamu achana na grants za kuzimu