Mwenye nyumba anataka nihame

Koran 5;51. Enyi mlio amini! (Waislamu) Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki.

DINI YA SHWETANI HII.
Huu ni uongo uliokomaa, yaani maandiko ya Koran yanasema hivyo. Mbona mambo ya kijamii ikiwemo biashara maandiko hayasemi wanaotakiwa kununua bidhaa yako ni waislam pekee. Anaeamini Koran anafanya biashara na wateja wake mchanganyiko, na anae amini bible yaani mkristo anafanya biashara na wateja wake mchanganyiko. Tutafakari Kwamakini sana Imani kama hizi. Tunategemeana sana tena sana, kama unabisha toa fact Kwa kukanusha hoja hii.
 


Tunahusikaje sisi
 
Umesummarize mno mpk hujaeleweka
Honestly sijaelewa ulichoandika mkuu[emoji848]
 
Lipa Kodi,lipa Kodi alafu acha Kumwambia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…