Mwenye orodha ya Wakuu wa Idara za Halmashauri na Majiji nchini Tanzania

Mwenye orodha ya Wakuu wa Idara za Halmashauri na Majiji nchini Tanzania

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Kama kuna idara au taasisi au mtu binafsi mwenye Orodha tajwa hapo juu aiweke hapa tafadhali.

Kukosekana kwake kutaonyesha ni jinsi gani serikali haina database ya watumishi hapo na ni moja ya Kada alizosema Waziri Mkuu inalipwa mishahara mikubwa ila Idadi na Majina yao hayajulikana na mtu au na serikali yenyewe.

Pia ni Muhimu kujulikana kwa sifa na uwezo wao kiutendaji na namna wakuu hao wansvyoteuliwa au kuchaguliwa.

Kuna shida kubwa sana za kiutendajindani ya Halmashauri nchini zinazosababisha na wakuu wa idara wabovu au makaimu.

Changieni hoja hii kwa manga ya watanzania
 
Kama kuna idara au taasisi au mtu binafsi mwenye Orodha tajwa hapo juu aiweke hapa tafadhali.

Kukosekana kwake kutaonyesha ni jinsi gani serikali haina database ya watumishi hapo na ni moja ya Kada alizosema Waziri Mkuu inalipwa mishahara mikubwa ila Idadi na Majina yao hayajulikana na mtu au na serikali yenyewe.

Pia ni Muhimu kujulikana kwa sifa na uwezo wao kiutendaji na namna wakuu hao wansvyoteuliwa au kuchaguliwa.

Kuna shida kubwa sana za kiutendajindani ya Halmashauri nchini zinazosababisha na wakuu wa idara wabovu au makaimu.

Changieni hoja hii kwa manga ya watanzania
Taarifa kama hizo zipo ila sio public shared man. Serikal ina database ya watumishi wote nchi hii.

Lakin hiyo kitu haijawekwa public. Nenda wizars husika ukaombe hizo taarifa. Jf hutozipata
 
Hap kwenye kiteuana hapo. Uwezo na hekma, busara wengine hawana kabisa sekta ya Elimu Ina Maafisa wasio na uwezo na Wana vyeti( bookish) flan hivi
 
Taarifa kama hizo zipo ila sio public shared man. Serikal ina database ya watumishi wote nchi hii.

Lakin hiyo kitu haijawekwa public. Nenda wizars husika ukaombe hizo taarifa. Jf hutozipata
 

Attachments

Kama kuna idara au taasisi au mtu binafsi mwenye Orodha tajwa hapo juu aiweke hapa tafadhali.

Kukosekana kwake kutaonyesha ni jinsi gani serikali haina database ya watumishi hapo na ni moja ya Kada alizosema Waziri Mkuu inalipwa mishahara mikubwa ila Idadi na Majina yao hayajulikana na mtu au na serikali yenyewe.

Pia ni Muhimu kujulikana kwa sifa na uwezo wao kiutendaji na namna wakuu hao wansvyoteuliwa au kuchaguliwa.

Kuna shida kubwa sana za kiutendajindani ya Halmashauri nchini zinazosababisha na wakuu wa idara wabovu au makaimu.

Changieni hoja hii kwa manga ya watanzania
Orodha ya Wakuu wa Idara wote ifuatilie kwa Katibu Mkuu TAMISEMI
 
Orodha ya Wakuu wa Idara wote ifuatilie kwa Katibu Mkuu TAMISEMI
Tunaitaji aiweke hapa Ili tuione. Kuna ufisadi mkubwa sana kwenye Orodha hiyo. TISS NA TAKUKURU mnatakiwe muwe na Orodha hiyo.
Na kila uteuzi wa. Wakuu wa idara pities kwenye vyombo vya ulinzi na usalama Ili wajulikane sifa na uwezo wao,
Kuna rushwa kubwa sana inatumika kupatiwa Nafasi hizo.
 
Nenda ofisi ya Rais Utumishi utapewa hizo taarifa usituchoshe hapa .
 
Tunaitaji aiweke hapa Ili tuione. Kuna ufisadi mkubwa sana kwenye Orodha hiyo. TISS NA TAKUKURU mnatakiwe muwe na Orodha hiyo.
Na kila uteuzi wa. Wakuu wa idara pities kwenye vyombo vya ulinzi na usalama Ili wajulikane sifa na uwezo wao,
Kuna rushwa kubwa sana inatumika kupatiwa Nafasi hizo.
Yawezekana hujui unachouliza au kuongea,
Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri zote ni Watumishi kama Watumishi wengine, data base yao ipo OR TAMISEMI na Mamlaka nyingine kama vile Utumishi, Wakuu wa Idara na vitengo wanalipwa salary ( LSS) ,Serikali inaweza kuwalipa Mshahara watu wasio kuwa kwenye Database ? Stretch your brain kaka.
Kuhusu upatikanaji wa Wakuu wa Idara na vitengo, ni kwamba hakuna ufisadi unaozungumzia, vitu vingine msiwe mnaamini tu, Kwa sasa ili uwe mkuu wa Idara au Kitengo sifa ya kwanza ni lazima uwe Senior, lakini mchakato unaanzia Halmashauri kwa Baraza la Madiwani na vetting inaendelea kwa Taasisi tofauti zenye Mamlaka na jambo hilo ikiwemo Ofisi ya DSO, Mkuu wa Idara au kitengo hateuliwi, anapendekezwa kwa Sifa zake ( lazima awe Senior), uwezo wa kazi, uwezo wa kuongoza etc .
Vijana aminini Serikali yenu ipo na inafanya kazi kubwa saana.
#Kuhusu mkeka unaohitaji wa Wakuu wa Idara na vitengo. Kuna jumla ya Halmashauri 196 ( kama kumbu kumbu zangu ziko sahihi) na kila Halamashauri ina Wakuu wa Idara na vitengo 13 ( Kwa muundo wa Mpaka FY 2021/2022 sina hakika kama muundo mpya umeanza kutekelezwa) . Kijana hao unaowataka kuwajua ni Watumishi wa Umma wanaohudumia Watanzania wala hawajifichi, hapo ulipo ukienda Ofisi ya Halmashauri ukiomba kuwajua utapewa majina yao na vyeo vyao , uliza tu kuwa unaomba kuwajua CMT.
# Mungu ibariki Tanzania
#Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
 
Kama kuna idara au taasisi au mtu binafsi mwenye Orodha tajwa hapo juu aiweke hapa tafadhali.

Kukosekana kwake kutaonyesha ni jinsi gani serikali haina database ya watumishi hapo na ni moja ya Kada alizosema Waziri Mkuu inalipwa mishahara mikubwa ila Idadi na Majina yao hayajulikana na mtu au na serikali yenyewe.

Pia ni Muhimu kujulikana kwa sifa na uwezo wao kiutendaji na namna wakuu hao wansvyoteuliwa au kuchaguliwa.

Kuna shida kubwa sana za kiutendajindani ya Halmashauri nchini zinazosababisha na wakuu wa idara wabovu au makaimu.

Changieni hoja hii kwa manga ya watanzania
Yawezekana hujui unachouliza au kuongea,
Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri zote ni Watumishi kama Watumishi wengine, data base yao ipo OR TAMISEMI na Mamlaka nyingine kama vile Utumishi, Wakuu wa Idara na vitengo wanalipwa salary ( LSS) ,Serikali inaweza kuwalipa Mshahara watu wasio kuwa kwenye Database ? Stretch your brain kaka.
Kuhusu upatikanaji wa Wakuu wa Idara na vitengo, ni kwamba hakuna ufisadi unaozungumzia, vitu vingine msiwe mnaamini tu, Kwa sasa ili uwe mkuu wa Idara au Kitengo sifa ya kwanza ni lazima uwe Senior, lakini mchakato unaanzia Halmashauri kwa Baraza la Madiwani na vetting inaendelea kwa Taasisi tofauti zenye Mamlaka na jambo hilo ikiwemo Ofisi ya DSO, Mkuu wa Idara au kitengo hateuliwi, anapendekezwa kwa Sifa zake ( lazima awe Senior), uwezo wa kazi, uwezo wa kuongoza etc .
Vijana aminini Serikali yenu ipo na inafanya kazi kubwa saana.
#Kuhusu mkeka unaohitaji wa Wakuu wa Idara na vitengo. Kuna jumla ya Halmashauri 196 ( kama kumbu kumbu zangu ziko sahihi) na kila Halamashauri ina Wakuu wa Idara na vitengo 13 ( Kwa muundo wa Mpaka FY 2021/2022 sina hakika kama muundo mpya umeanza kutekelezwa) . Kijana hao unaowataka kuwajua ni Watumishi wa Umma wanaohudumia Watanzania wala hawajifichi, hapo ulipo ukienda Ofisi ya Halmashauri ukiomba kuwajua utapewa majina yao na vyeo vyao , uliza tu kuwa unaomba kuwajua CMT.
# Mungu ibariki Tanzania
#Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
 
Yawezekana hujui unachouliza au kuongea,
Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri zote ni Watumishi kama Watumishi wengine, data base yao ipo OR TAMISEMI na Mamlaka nyingine kama vile Utumishi, Wakuu wa Idara na vitengo wanalipwa salary ( LSS) ,Serikali inaweza kuwalipa Mshahara watu wasio kuwa kwenye Database ? Stretch your brain kaka.
Kuhusu upatikanaji wa Wakuu wa Idara na vitengo, ni kwamba hakuna ufisadi unaozungumzia, vitu vingine msiwe mnaamini tu, Kwa sasa ili uwe mkuu wa Idara au Kitengo sifa ya kwanza ni lazima uwe Senior, lakini mchakato unaanzia Halmashauri kwa Baraza la Madiwani na vetting inaendelea kwa Taasisi tofauti zenye Mamlaka na jambo hilo ikiwemo Ofisi ya DSO, Mkuu wa Idara au kitengo hateuliwi, anapendekezwa kwa Sifa zake ( lazima awe Senior), uwezo wa kazi, uwezo wa kuongoza etc .
Vijana aminini Serikali yenu ipo na inafanya kazi kubwa saana.
#Kuhusu mkeka unaohitaji wa Wakuu wa Idara na vitengo. Kuna jumla ya Halmashauri 196 ( kama kumbu kumbu zangu ziko sahihi) na kila Halamashauri ina Wakuu wa Idara na vitengo 13 ( Kwa muundo wa Mpaka FY 2021/2022 sina hakika kama muundo mpya umeanza kutekelezwa) . Kijana hao unaowataka kuwajua ni Watumishi wa Umma wanaohudumia Watanzania wala hawajifichi, hapo ulipo ukienda Ofisi ya Halmashauri ukiomba kuwajua utapewa majina yao na vyeo vyao , uliza tu kuwa unaomba kuwajua CMT.
# Mungu ibariki Tanzania
#Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Hii imetoka wapi na ni akina nani?
 

Attachments

Yawezekana hujui unachouliza au kuongea,
Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri zote ni Watumishi kama Watumishi wengine, data base yao ipo OR TAMISEMI na Mamlaka nyingine kama vile Utumishi, Wakuu wa Idara na vitengo wanalipwa salary ( LSS) ,Serikali inaweza kuwalipa Mshahara watu wasio kuwa kwenye Database ? Stretch your brain kaka.
Kuhusu upatikanaji wa Wakuu wa Idara na vitengo, ni kwamba hakuna ufisadi unaozungumzia, vitu vingine msiwe mnaamini tu, Kwa sasa ili uwe mkuu wa Idara au Kitengo sifa ya kwanza ni lazima uwe Senior, lakini mchakato unaanzia Halmashauri kwa Baraza la Madiwani na vetting inaendelea kwa Taasisi tofauti zenye Mamlaka na jambo hilo ikiwemo Ofisi ya DSO, Mkuu wa Idara au kitengo hateuliwi, anapendekezwa kwa Sifa zake ( lazima awe Senior), uwezo wa kazi, uwezo wa kuongoza etc .
Vijana aminini Serikali yenu ipo na inafanya kazi kubwa saana.
#Kuhusu mkeka unaohitaji wa Wakuu wa Idara na vitengo. Kuna jumla ya Halmashauri 196 ( kama kumbu kumbu zangu ziko sahihi) na kila Halamashauri ina Wakuu wa Idara na vitengo 13 ( Kwa muundo wa Mpaka FY 2021/2022 sina hakika kama muundo mpya umeanza kutekelezwa) . Kijana hao unaowataka kuwajua ni Watumishi wa Umma wanaohudumia Watanzania wala hawajifichi, hapo ulipo ukienda Ofisi ya Halmashauri ukiomba kuwajua utapewa majina yao na vyeo vyao , uliza tu kuwa unaomba kuwajua CMT.
# Mungu ibariki Tanzania
#Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Afisaelimu sekondari Meru unamfahamu? Fuatilia ukutane na madudu ya Tamisemi
 
Hii imetoka wapi na ni akina nani?
Sasa kinachokutisha ni nini hapo? Tathimi ya utendaji kazi ya Wakuu wa Idara ni jambo la kawaida, Serikali imekuwa ikifanya tathimini ya Watumishi wake pale inapobid. Aidha Serikali kupitia mfumo wa OPRAS imekuwa ikipitia utendaji wa Watumishi wake. Ili kuboresha utendaji wa kazi Serikali inaweza kuamua kuwabadilisha vituo vya kazi Watumishi wake au kushusha na kuwapandisha vyeo baadhi ya Watumishi wanaoshindwa kufikia malengo au kuendana na kasi ya kuwahudumia Wananchi
 
Sasa kinachokutisha ni nini hapo? Tathimi ya utendaji kazi ya Wakuu wa Idara ni jambo la kawaida, Serikali imekuwa ikifanya tathimini ya Watumishi wake pale inapobid. Aidha Serikali kupitia mfumo wa OPRAS imekuwa ikipitia utendaji wa Watumishi wake. Ili kuboresha utendaji wa kazi Serikali inaweza kuamua kuwabadilisha vituo vya kazi Watumishi wake au kushusha na kuwapandisha vyeo baadhi ya Watumishi wanaoshindwa kufikia malengo au kuendana na kasi ya kuwahudumia Wananchi
mfumo wa OPRAS unaweza kukutana upate ukuu wa idara bila pesa?
 
Sasa kinachokutisha ni nini hapo? Tathimi ya utendaji kazi ya Wakuu wa Idara ni jambo la kawaida, Serikali imekuwa ikifanya tathimini ya Watumishi wake pale inapobid. Aidha Serikali kupitia mfumo wa OPRAS imekuwa ikipitia utendaji wa Watumishi wake. Ili kuboresha utendaji wa kazi Serikali inaweza kuamua kuwabadilisha vituo vya kazi Watumishi wake au kushusha na kuwapandisha vyeo baadhi ya Watumishi wanaoshindwa kufikia malengo au kuendana na kasi ya kuwahudumia Wananchi
Afisaelimu sekondari Meru unamfahamu? Fuatilia ukutane na madudu ya Tamisemi, au alipitia huo mfiumo wa OPRAS?
 
CAG amesema baadhi yao hawana vigezo. Nimakanjanja wamekaa kiwiziwizi
 
Back
Top Bottom