Vinakuwa viwili kila mtu na chakeeSasa nikiwa na correction pen hapa si naoa mwingine namfuta huyo wa mwanzo kama akiniletea mapicha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vinakuwa viwili kila mtu na chakeeSasa nikiwa na correction pen hapa si naoa mwingine namfuta huyo wa mwanzo kama akiniletea mapicha
Umemkata maini
Hv kabudi hakurekebisha sheria hii.Sheria Ya Ndoa 1971
Ni siri maana kina maelezo binafsi ya wahusika.Lengo nikujua yajayo. Na hili jambo sidhani kama ni siri.
Kumbe hutofautiana.Ni siri maana kina maelezo binafsi ya wahusika.
Nina mashaka na wewe, siweki ng'ooo!Tunajua kuwa Ndoa ni makataba, so nmeonelea ni vyema kuomba kujua mahudhui ya aina hii ya maktaba.
Itapendeza zaidi kama vikipatikana tofauti tofauti yaani cha
⭕ kikristo
⭕kiislamu
⭕kiserikali
Kama vitakuwa vinatofautiana.
Asante.
Ila unaweza ficha majinaNina mashaka na wewe, siweki ng'ooo!
Fidia kama ndoa ilivunjika au hii imekaaje mkuu.Mkuu hiki cheti kama ni chako sawa lakini kama siyo chako umefanya kosa unaweza kushitakiwa Mahakamani na ukadaiwa fidia.
Kwamba atakuwa amevujisha nyaraka za ndoa.Mwenye cheki atakapoamua kufungua kesi utafahamu tu mkuu. Ngoja tusubiri kwanza mkuu.
HApa Maxence anaweza Lazimishwa kumtaja.Mkuu hiki cheti kama ni chako sawa lakini kama siyo chako umefanya kosa unaweza kushitakiwa Mahakamani na ukadaiwa fidia.
Acha kutisha watu.Mwenye cheki atakapoamua kufungua kesi utafahamu tu mkuu. Ngoja tusubiri kwanza mkuu.
Cheti please😊Hehehe
Ova
Cheti please😊Hehehe
Ova
HajarekebishaHv kabudi hakurekebisha sheria hii.
Naona unaenda kughushi, chako au cha mteja?Sampo kama ipo mkuu
Naona umemsaidia kutengeneza vyeti fake vya ndoa.