Mwenye picha ya msanii Pig Black/P1 black

Nini mnataka mazeee hapa shwari.....
 
N
lile beat mi huwa linanimaliza,kile kipindi cha sauda mwilima alikua analitumia kipindi kikianza na kwisha nilikua nawahi niliskii,P funk mikino yake balaa.
Inavosemekana p funk ile hitsong hakuchukua hata mia alimrekodia free sababu hata mwenyew alimkubal mshkaj.
 


Huyo hapo P1 black..unaweza msikiliza SoundCloud
 
Pig black ngoma yake ile ilikuwa hataree ..enzi zile pig black nini mnataka mazee na fid.q huyu na yule

Zilikuwa zikipigwa nasitisha kazi zangu kwa muda
Sijui ka kwamia wapi huyu mtu ni watofaut yani
 
kuna jamaa anaitwa kavel alifungua thread kuhusu Nash mc akawa anasema kuna Dada anapenda hip hop nawish angekuaepo hapa....ila tatizo alikusahau jina niliona avatar tuu nikakumbuka ndio ww
Sawa namsalim sana Kavel.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…