Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Baby nina ubavu wa kufunga ndoa na hawezi kuzuia ila kuwapa nafasi wotoe hoja imekuwa kosa wanatoa viroja. Huyu mwanamke nilisha muacha na anajulikana ni mke wa Chimbuvu!
Usijali tutafika maana hawaniwezi!
Usijali tutafika maana hawaniwezi!
dear na ww ilikuaje ukamuoa MADAME B?yani ni king'ang'anizi kama nn,wanaume wote hao hawamtoshi bado anakutaka na ww,tufungie ndoa kwenye ndege kuepuka usumbufu
Last edited by a moderator:
