Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Ukiona mlalamika kakosa kuja mahakamani ujue amekubali kushindwa!
nafikiria, maana hata mlalamikaji amegoma kufika mahakamani, nafikiria kuifunga, ila pia natafuta kesi nyingine ya kuwafungulia mlalamikaji na walalmikiwa wote, haiwezekani kuiochezea mahakama.
halafu umempa nini Rutta hadi amekuwa kimya hivyo?