dear na ww ilikuaje ukamuoa MADAME B?yani ni king'ang'anizi kama nn,wanaume wote hao hawamtoshi bado anakutaka na ww,tufungie ndoa kwenye ndege kuepuka usumbufu
@Ruttashobolwa una kazi loya wetu.
hahaa!najua hizo ni kelele za chura,pia kilio cha samaki tu,tarumbeta muhimu RUTTA wangu!Baby nina ubavu wa kufunga ndoa na hawezi kuzuia ila kuwapa nafasi wotoe hoja imekuwa kosa wanatoa viroja. Huyu mwanamke nilisha muacha na anajulikana ni mke wa Chimbuvu!
Usijali tutafika maana hawaniwezi!
Mbona keshakosa mume! Huyu passion lady hawezi kuolewa hadi nimkague! Ruttashobolwa anamdanganya ili akishamchezea arudi zake kwa Madame B!
Hao wote ni waume zangu,nawe si uwatafute wako.
Umenena vema kijana. Kuna mabinti watatu ntakuPM unisaidie kuwakagua. tatizo siyo ukaguzi, tatizo ni foleni.Give us a break Ladiezzzz!!kwa taarifa yako Asprin hajashindwa kazi. Wakukaguliwa wamekuwa wengi ndio maana ame'deligate' kazi yake kwangu. Na huyu aliyesema anakupenda lazima nimkague!
Your words must be marked wit red ink, boy! Go Filipo GOOOO!!kama kweli ningekuwa napotosha unge"copy" kwa Asprin na Baba V! Nasisitiza kuwa hakuna ndoa itafungwa kama sijamkagua huyo passion lady kwa mamlaka niliyopewa na Asprin! Mark my words!
halafu we mtu wa chini ya mlima vp, lazima kuna sababu, haiwezekani ile kesi ya kikuku ikaisha hivi hivi. Itabidi niipange upya, maana naona rutta ana presha ya kupingwa kumwoa aliyemtangazia nia
Naona mmejipanga kupotosha kabisa hakuna ndoa kati yangu na madame b narudia tena!
Ndoa ilivunjwa na nisingeweza kutangaza nia bila kumuacha!
Weka huo ushahidi!
Naona mmejipanga kupotosha kabisa hakuna ndoa kati yangu na madame b narudia tena!
Ndoa ilivunjwa na nisingeweza kutangaza nia bila kumuacha!
Weka huo ushahidi!
Umenena vema kijana. Kuna mabinti watatu ntakuPM unisaidie kuwakagua. tatizo siyo ukaguzi, tatizo ni foleni.Give us a break Ladiezzzz!!
Copy: Ruttashobolwa, passion lady kwa utekelezaji
Kisa loya na ana mijihela ndio sababu ya kumganda loooo,washidwe wote wanaotaka kukwamisha harusi yetu,keki lazima ikatwe,pete lazima nivae mie!
Baba V
9th November 2012 10:14
#23 Banned Array
Join Date : 29th December 2010
Location : Buguruni Mnyamani
Posts : 8,099
Rep Power : 0
Likes Received3197
Likes Given1614
[h=2][/h] By Chilli
Nishapata mchumba anaitwa Madame B unaonaje ukifanya utaratibu wa usajili?!
Navyomjua mimi huyo ni mke tena wa ndoa kabisa wa mwanasheria mmoja wa kihaya kwa jina la Ruttashobolwa na sijawahi pata taarifa ya kuachana kwao, ngoja niipeleke kwenye kamati ya screening ili Mamndenyi afanye kazi yake