nafikiria, maana hata mlalamikaji amegoma kufika mahakamani, nafikiria kuifunga, ila pia natafuta kesi nyingine ya kuwafungulia mlalamikaji na walalmikiwa wote, haiwezekani kuiochezea mahakama.
halafu umempa nini Rutta hadi amekuwa kimya hivyo?
Hakuna kitu hapo, Asprin hana mamlaka ya kukupa kazi ya kukagua kabla ya wewe kujadiliwa na wana cc!
Utakesha sana! Vip shem marejesho hajambo?
passion lady lov yu much!
Copy: Ruttashobolwa, passion lady kwa utekelezaji
Lzi talaka limepita bado ukaguzi,ASPRIN legeza masharti plssss!
hakuna kulegeza. Kukaguliwa ni lazima na this tym utanikuta chumba cha ukaguzi!
Huna mamlaka ya kumkagua my passion lady!
Huna mamlaka ya kumkagua my passion lady!
looool!we FILIPO ulie tu,utakula kwa macho,hicho chumba wala sikisogelei tena ushindwe,RUTTASHOBOLWA bby huyu mtu tunatakiwa tumkomeshe!
we jishaue tu! Ndoa haifungwi hadi nikukague!
Tafuta mwingine wa kukagua japo huna mamlaka!
Ni aibu mwanasheria kuvunja sheria! Na nitahakikisha utaratibu unafuatwa!
Twende taratibu na uoneshe kipengele nilicho pindisha maana me najua hakuna unapo tambulika kama mkaguzi, nakupa haki yako kukwambia ukweli!
You won't touch my passion lady!
Ubishi wako hautakusaidia chochote! Inamaana hata Asprin hukumsikia au ni kiburi! Nimesema piga ua lazima nimkague passion lady, lasivyo hakuna ndoa!
Copy: Baba V, Asprin
Apo ndo shoping ya harusi.....
''Nipe suti kumi kama za rutashobya, viatu vya gucci pair 9..kama vya rweyemamu..
...na mashat ya chuichui..pair nane..na mikanda ya chumachuma pair 7...
Unanierewa rakini...
Aaaghh kwani muuzaji.. Iro duka rote shiringi ngapiiii....!!!
(tangazo la voda)
Bora umsubiri Baba V muandike sheria mpya za ukaguzi na wewe uteuliwe tena na wana cc lakini hizo hazito mhusu passion lady!
Lakini mbona unang'ang'ania kukagua wakati huna mamlaka.
, hivi umechoka kuishi?
Sema namuonea huruma shem marejesho!
Ni aibu mwanasheria kuvunja sheria! Na nitahakikisha utaratibu unafuatwa!
Kwani nani aliyempa Yohane mamlaka ya kubatiza!?
we jishaue tu! Ndoa haifungwi hadi nikukague!