Passion Lady
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 8,694
- 4,643
- Thread starter
-
- #341
My passion lady miss yo so mucha! Huyu Filipo muache ana stress!
miss u 2 my RUTTASHOBOLWA!kweli anastres labda kwa kua marejesho yupo vile anatafuta kipoozeo mpaka shemejio ashushe engine!
wife wangu marejesho hana tatizo lolote na anamlea mwanetu vema! Swala la ukaguzi lipo kwa mujibu wa taratibu na hata ruttashobolwa anafahamu. Na lazima nikukague kabla ya kuolewa. Otherwise huolewi!
mkuu ilikuwa kweli au??kila la kheri kwenye maandalizi yenu...
Watu walioana kweli na jukwaani hawaonekani tena....mkuu ilikuwa kweli au??
hii ndoa sijui iliishia wapimiss u 2 my RUTTASHOBOLWA!kweli anastres labda kwa kua marejesho yupo vile anatafuta kipoozeo mpaka shemejio ashushe engine!
Jamani watu na bahati zetu,mie nimeonekana na mwanachitchat mwenzangu,siku si nyingi tunataka kutangaza nia,ili ndoa isiwe na mapicha picha naomba mwenye pingamizi ajitokeze tafadhali,nimempata wa moyoni RUTTASHOBOLWA!
Apo ndo shoping ya harusi.....
''Nipe suti kumi kama za rutashobya, viatu vya gucci pair 9..kama vya rweyemamu..
...na mashat ya chuichui..pair nane..na mikanda ya chumachuma pair 7...
Unanierewa rakini...
Aaaghh kwani muuzaji.. Iro duka rote shiringi ngapiiii....!!!
(tangazo la voda)
mkuu ilikuwa kweli au??
huyu Rutta mbona yupo activeWatu walioana kweli na jukwaani hawaonekani tena....
Tumuulize Ruttahii ndoa sijui iliishia wapi
si kihivyo km wakti huo alipokuwa mwanachama mtiifu wa cdm...huyu Rutta mbona yupo active