Utoto!!?..nimesoma na mamaakoHivi tuseme ni utoto au umeamua kuchangamsha genge.
Asante ndugu kwa kumuona huyu mpuuzi,mi nilimwambia ye so mwanaumeHivi tuseme ni utoto au umeamua kuchangamsha genge.
Piss off wholeUtoto!!?..nimesoma na mamaako
upo wapi mkuuPeaky blinders
Breaking bad
Prison break
Hiyo mizigo iko full[emoji115]
Dogo ongea na mshua wako aniuzie kwa laki nane ile landcruiser lc 200 inayomsumbua.Unataka soft copi au cd
Hahaha nimecheka. Halafu unamjibu vibaya huku hukosi sala tano na una SijdaUtoto!!?..nimesoma na mamaako
ππLeta ela Kuna mark 2 gx100Dogo ongea na mshua wako aniuzie kwa laki nane ile landcruiser lc 200 inayomsumbua.
Niko Dar mkuuupo wapi mkuu
mbali na hizo series, single movie nazo si unazo?Niko Dar mkuu
Kumjibu vibaya kusoma na mamaake!!?..humu Kuna vijana 2017 walikua form two,Dem wangu wa shule ya msingi first born wake kazaliwa 1997Hahaha nimecheka. Halafu unamjibu vibaya huku hukosi sala tano na una Sijda
Dogo Torvic ninayo ya arnold Terminator.mbali na hizo series, single movie nazo si unazo?
πππDogo Torvic ninayo ya arnold Terminator.
Hapana sina ila nibayo ya Bodyguard from Bongo.πππ
ya spatacus hauna?
Una shingapi upo mzigo mwingi nipe offer nipo mbagalaHaya niko na mchakato wa kufungua video library..
Soko kubwa la huku ni zile single movie zilizotafsiriwa na DjMack, na series za kikorea zilizotafsiriwa.
Mwenye mzigo wa kutosha tuwasiliane tujue tunafanyaje
wewe msweeden kumbe na hii ni account yako nyingine... ulipigwa life bann nini?Hapana sina ila nibayo ya Bodyguard from Bongo.