Mwenye Smart Watch hii Inakuhusu usije tuletea andiko Humu JF Kama Ushuhuda

Mwenye Smart Watch hii Inakuhusu usije tuletea andiko Humu JF Kama Ushuhuda

Na inachekesha kweli mkuu!.

Hapo kabla nilikaa dakika kadhaa kujiuliza why this?.

Ndipo nikapata kuelewa kumbe now days haihitaji security kubwa sana kutafuta mchawi ila ni kununua smart watch tu na kuzigawa 😃😂!.
Uko sahihi kabisa. Wakati application ya ''find my iphone'' inaanza kutumika nilishamkamata demu wangu kwa kusema uongo. Simu nilimnunulia mimi, nikawa naweza ku-locate kwa account yangu. Basi siku moja usiku nikaona yuko Mabibo, mbali kabisa na nyumbani, nikapiga kumuuliza kama ameshalala. Akajibu ndiyo ametoka kuoga sasa hivi na anatandika kitanda. Nikamwambia mbona kuna jamaa yangu amenipigia sasa hivi amesema uko Mabibo? Akatoa mguno kama wa mbuzi huku akisema ni kweli ila aliogopa kuniambia ukweli.
 
Back
Top Bottom