Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe specs za Machine yako tumwambie ni Open sourced LLM unayoweza install na kui run locallyUnaweza kunisaidia free AI chat apk hapo..
Yangu ni hiiTupe specs za Machine yako tumwambie ni Open sourced LLM unayoweza install na kui run locally
LLM zina run vizuri kwenye GPU, na unahitaji atleast 7 cores.....Yangu ni hii
Lenovo
Intel i core 5
Ram 8 gb
Nimetumia AI mwezi wa 4 sasa. Tangu mwanzo nilivyoijaribu Gpt3.5 ilishindwa kunipa 3d drawings mfano moyo.Unaweza kunisaidia free AI chat apk hapo..
ChatGTP 3.* ni special kwa ajili ya text generation. Ulitegemeaje ikuchoree picha?Nimetumia AI mwezi wa 4 sasa. Tangu mwanzo nilivyoijaribu Gpt3.5 ilishindwa kunipa 3d drawings mfano moyo
Aise lines 300??, uliona wapi hii ndio limit?. Mfano ukitumia generative AI iki command lbd itengeneze programmming labla kwa C++ inauwezo kwa kuandaa hadi line 1000 na kuendeleaMfano nikitaka kuchora points za xyz kwenye plane chat kashindwa. Moyo alinichorea kwa kutumia character hii ---. Nilidhani labda gpt3 hana uwezo wa visualize 3D drawing.
Je ni mimi ndie sijaelewa kumuamrisga AI ?
Sijajaribu kwa bard.ila AI inaweza kukufunza haraja computer programmming hspo haiba uwezo wa kukupa code 300 lines. Inakuoa vi snipet vidogo vidogo.
Eti complex equations. Sasa inaama gani kuitwa AIJamba linge AU hawezi kuzama complex equations.
Hata AGI au ASI achana na hizi generative AI za pytorch. Schrödinger sio rahisi kua proven (hata schrödinger wenyewe alishidwa, hii ni theory sio principle) Generative AI zinatumia dataset hazina wezo wa kufanya kazi nje ya hizo dataset. Kama kwenye datasets hamna data inayoonyesha Schrödinger ipo proven usitegemee itaweza ku prove chochoteMfano niliitaka ifanye ku prove schrodinger equation.
Upo empty kwenye AIAkaleta maluwe luwe yasio eleweka.
AI ni mzuri kwenye maelezo sio equations.
Line 300 za codes ni nyingi!ChatGTP 3.* ni special kwa ajili ya text generation. Ulitegemeaje ikuchoree picha?
Aise lines 300??, uliona wapi hii ndio limit?. Mfano ukitumia generative AI iki command lbd itengeneze programmming labla kwa C++ inauwezo kwa kuandaa hadi line 1000 na kuendelea
Eti complex equations. Sasa inaama gani kuitwa AI
Hata AGI au ASI achana na hizi generative AI za pytorch. Schrödinger sio rahisi kua proven (hata schrödinger wenyewe alishidwa, hii ni theory sio principle) Generative AI zinatumia dataset hazina wezo wa kufanya kazi nje ya hizo dataset. Kama kwenye datasets hamna data inayoonyesha Schrödinger ipo proven usitegemee itaweza ku prove chochote
Upo empty kwenye AI
Aise kama umefika chuo, aliekua analipa ada hapa amepoteza bora angefunga ng'ombe. Kwa hivyo mkuu siku hizi electron zipo constantly kwenye specific position???.Line 300 za codes ni nyingi!
Schrodinger equatoon haina prove ?
Physics ya form 3 inakushida AI ndo utaziweza. Kuwa mpole tukuelimishe kam elimu ya darasani imeshidwa kuku-komboaUmesoma wapi ? Unapingaje vitu ambavyo vipo wazi.
AI inathibitisha yenyewe kuwa imekuwa train with a loat of data, unapos4ma text tu nashi dwa kukuelewa basi ingeitwa akili ya text.
AI ina express eguations vizuri tu.
N8meenda ku screenshot ili kuonyesha ulivyo muongo.
View attachment 2830543
Computer doesn't know text but characters. Mathematical symbols are characters and can be understood by any machine. AI as part of machine can understand make expressions, idiom,theorems laws etc.
Niliteutegemea utaleta kitu cha kuwezesha watu kuelewa hapa kumbe wewe mwenyewe huelewi. Kama hujui ungesema tu sijui sio kusema eti AI blabla kibao.
Hao ndiyo wasomi wetu. Atakuamba wewe hujui chochote na hiki ndicho kilifanya jukwaa la tech kufa.Msitumie lugha mbaya nikiwa mtu anaonekana hana ufahamu mzuri kuhusu AI tumieni lugha zisizotweza utu, fafanua jambo vizuri sio inamaliza kwa kusema wewe hujui hajui ni I hata hicho alichosema ndicho anachojua fafanua kwa kukosoa kwa lugha nzuri.
Wengi humu nataka umwamba hahaha, ngoja nami none vichwa hapa kwenye AI
Msitumie lugha mbaya
If you understand quantum mechanics then you have not understood quantum mechanics. FAYMANAise kama umefika chuo, aliekua analipa ada hapa amepoteza bora angefunga ng'ombe. Kwa hivyo mkuu siku hizi electron zipo constantly kwenye specific position???.
Ukiweza ku prove schrodinger eqn ina maana unajua atom ipo kwenye state gani. Schrödinger cat akiwa kwenye box ina state kwamba cat yupo hai, na amekufa kwa wakati mmoja.
Ukifingua box ndio unjua cat yupo kwenye state gani.
Ukisema schrodinger eqn ipo proven inamaanisha kabla hatuja fungua box tunajua paka ldb yupo hai au amekufa hii inaondoa maana kabisa ya hii theory
Physics ya form 3 inakushida AI ndo utaziweza. Kuwa mpole tukuelimishe kam elimu ya darasani imeshidwa kuku-komboa
Wewe unachanganya mambo. Science ukiiendea kichwa kichwa lazima uchanganyikiwe. Connect dots!.Aise kama umefika chuo, aliekua analipa ada hapa amepoteza bora angefunga ng'ombe. Kwa hivyo mkuu siku hizi electron zipo constantly kwenye specific position???.
Ukiweza ku prove schrodinger eqn ina maana unajua atom ipo kwenye state gani. Schrödinger cat akiwa kwenye box ina state kwamba cat yupo hai, na amekufa kwa wakati mmoja.
Ukifingua box ndio unjua cat yupo kwenye state gani.
Ukisema schrodinger eqn ipo proven inamaanisha kabla hatuja fungua box tunajua paka ldb yupo hai au amekufa hii inaondoa maana kabisa ya hii theory
Physics ya form 3 inakushida AI ndo utaziweza. Kuwa mpole tukuelimishe kam elimu ya darasani imeshidwa kuku-komboa
Kuna tofauti gani kati ya Llama na LaMDA na ipi ni bora zaidiMwenye swala lolote katika maswali ya AI ili tuweze kushare knowledge