Mwenye swala lolote kuhusu Technology ya AI

Mwenye swala lolote kuhusu Technology ya AI

Hao ndiyo wasomi wetu. Atakuamba wewe hujui
Basi upo sawa, ila upotoshaji si sawa. Kama mtu hana jawabu asitoe jawabu la uongo. Maana hii karne sio ya kudanganya, tupo karne nyingine kabisa. At instant unaweza hakikisha jibu la mtu ni kweli au sio kweli.
 
Basi upo sawa, ila upotoshaji si sawa. Kama mtu hana jawabu asitoe jawabu la uongo. Maana hii karne sio ya kudanganya, tupo karne nyingine kabisa. At instant unaweza hakikisha jibu la mtu ni kweli au sio kweli.
Unaonaje mwalimu na yeye anapomuuliza mwanafunzi akakosea akawa anawajibu
Wewe ni mpumbavu hujui, wewe ni mjinga jibu siyo hilo, hujui kaa kimya
Unafikiri huyo mwalimu atakuwa sahihi?
Ni ukosefu wa akili, hekima, busara na kujitojitambua ndiyo husababisha mtu awe na majibu ya ovyo na kujiona bora kuliko mwingine
 
Unaonaje mwalimu na yeye anapomuuliza mwanafunzi akakosea akawa anawajibu
Wewe ni mpumbavu hujui, wewe ni mjinga jibu siyo hilo, hujui kaa kimya
Unafikiri huyo mwalimu atakuwa sahihi?
Ni ukosefu wa akili, hekima, busara na kujitojitambua ndiyo husababisha mtu awe na majibu ya ovyo na kujiona bora kuliko mwingine
Kudili na mwanafunzi sio sawa ku deal na mtu wa JF alie timamu.
Mtu anajifanya yeye anajua kuliko waliovitengemeza, sisi wengine tupo kama Magufuli hatuna lugha ya kona kona. Tanzania inaharibikiwa kwa sababu ya lugha ya kona kona ta unafiki unafiki.
Hata hata makazini watu wamejaa unafiki unafiki wanashindwa kunyooka kuzuia ujinga.
Sijui ligha ya kuremba hasa kwa mtu ambae ameonesha utimamu na kunizidi maarifa wakati uhalisia hana hayo maarifa.
Ukitaka kumfanya mtu awe kid basi wewe uoneshe na ku prove maturity. To pretend that you are matured while you are kid, is nonsense.
 
Kwani AI imeshindwa kuwasaidia Palestina kuwaondoa Mayahudi pale Gaza? Alawakubar
Hivi mtu kama Malaria 2 anawezaje kuongelea mambo kama haya?

Nachojua mambo haya hayafundishwi madràsa.

Ntakuwa wa mwisho kuamini.
 
Mwenye whatsapp number ya chatpgt aiweke hapa ili niwe natuma prompts kwa whatsapp azijibu
 
Back
Top Bottom