Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
Basi upo sawa, ila upotoshaji si sawa. Kama mtu hana jawabu asitoe jawabu la uongo. Maana hii karne sio ya kudanganya, tupo karne nyingine kabisa. At instant unaweza hakikisha jibu la mtu ni kweli au sio kweli.Hao ndiyo wasomi wetu. Atakuamba wewe hujui