Habari ya mchana ndugu zangu, samahani kwa yeyote anaejua au mwenye taarifa za kutosha kuhusiana na DVB t2 Satellite Receiver anisaidie plz.
Maana nmeckia kuwa ni kin'gamuzi kisichokuwa na malipo ya mwezi ni free channels yaaani una access channels zaidi ya 100 inategema na location Yako lkn minimum ni channels 80 mpk 90
Unachohitaji kuwa na antenna tu, au dish la futi 14
Channels za movies , mpira cartoon nk
Only at TSH 70,000
Maana nmeckia kuwa ni kin'gamuzi kisichokuwa na malipo ya mwezi ni free channels yaaani una access channels zaidi ya 100 inategema na location Yako lkn minimum ni channels 80 mpk 90
Unachohitaji kuwa na antenna tu, au dish la futi 14
Channels za movies , mpira cartoon nk
Only at TSH 70,000