zinabandikwa...Tofali hizo mzee hazibandikwi,zinajengewa,tanzania bado hatujapata matajiri wenye kumiliki hizo tanuru za kuchanganyia udongo na kuchomea hizo tofati,wenzetu kenya na uganda wanajengea sana hizo,kidogooo nilianza kuziona Arusha,zamani zilikuwepo Peramiho Misheni
zipo za aina mbili, sqm 1 kwa 36,000/= na nyingine sqm 1 kwa Tsh 24,000/=
Unaweza kubandika bila kupiga plasta au baada ya kupiga plasta