zinabandikwa...Tofali hizo mzee hazibandikwi,zinajengewa,tanzania bado hatujapata matajiri wenye kumiliki hizo tanuru za kuchanganyia udongo na kuchomea hizo tofati,wenzetu kenya na uganda wanajengea sana hizo,kidogooo nilianza kuziona Arusha,zamani zilikuwepo Peramiho Misheni
Tofauti kati ya 36,000/= na 24,000/= ni nini?zinabandikwa...
zipo za aina mbili, sqm 1 kwa 36,000/= na nyingine sqm 1 kwa Tsh 24,000/=
Unaweza kubandika bila kupiga plasta au baada ya kupiga plasta
kuna vilivyotengenezwa na mashine na vilivyotengenezwa na mkonoTofauti kati ya 36,000/= na 24,000/= ni nini?
Nadhani vya mashine ndio vitakuwa vizuri zaidikuna vilivyotengenezwa na mashine na vilivyotengenezwa na mkono
Tofali hizo mzee hazibandikwi,zinajengewa,tanzania bado hatujapata matajiri wenye kumiliki hizo tanuru za kuchanganyia udongo na kuchomea hizo tofati,wenzetu kenya na uganda wanajengea sana hizo,kidogooo nilianza kuziona Arusha,zamani zilikuwepo Peramiho Misheni
Nadhani vya mashine ndio vitakuwa vizuri zaidi
Gharama zake zikoje mkuu?Cladding hizo mzee zinabandikwa after plaster. Zinavyatuliwa na kuchomwa kama matofali tu