Mwenye ufahamu kuhusu kutembelea Serengeti naomba msaada

Mwenye ufahamu kuhusu kutembelea Serengeti naomba msaada

jamesandrew

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2014
Posts
240
Reaction score
580
Habari za asubuhi?

Natumaini wote tumeamka salama na tuko katika mapambano yetu ya kila siku ya maisha. Samahani naomba kufahamu kuhusu utaratibu wa kutembelea Serengeti kama Mtanzania.

1. Je gari aina za Coaster inayobeba abiria 30 inaruhusuiwa kuingi mbungani?
  • Mikumi kuna ruksa hio unalipia kisha mnaingia na gari yenu.
  • Ngorongoro kuingia na gari yako sharti ni lazima gari iwe 4x4.
Je Serengeti kuna ruhusa iyo?

NB: Kama gari aina ya Coaster hairuhusiwi, je kuna gari za kukodi na gharama yake ikoje kwa mtanzania wa hali ya kawaida anayependa kwenda kutembelea kivutio icho?

2. Je gharama za mtanzania mtu mzima kuingia ni kiasi gani?

3. Kwa wageni wanatoka nje ya mkoa husika ambapo Serengeti ndo inapotikana huduma za chakula na maradhi zikoje?

4. Kuna lile ballon huwa linaonekana mara nyingi, je gharama zake zikoje kuweza kulipanda?

5. Je ni kitu gani kingine cha muhimu natakiwa kuzingatia wakati wa kujiandaa kwenda Serengeti?

Naomba kuwasilisha, asante sana.

Mungu awabariki nyote.
Muwe na kazi njema.
 
Saw a, maswali yawafikie wajuzi haya mambo na itapendeza wayajibu bila kubania baadhi ya wanayoyajua ili iwe msaada kwetu ktk kukuza uchumi wa mifuko ya watawala
 
Ingia baa agiza serengeti(lager or light) anza kupiga mdogo mdogo
Utaanza kuwaona wanyama wa kawaida,endelea kushusha vyupa mwishowe utawaona wanyama WAKALI

Na nakuhakikishia hautaishia hapo as long as unavyoendelea kushusha vyupa utashift from mtalii tu muwindaji lazima utaondoka na kitoweo hapo
 
Habari za asubuhi?

Natumaini wote tumeamka salama na tuko katika mapambano yetu ya kila siku ya maisha. Samahani naomba kufahamu kuhusu utaratibu wa kutembelea Serengeti kama Mtanzania.

1. Je gari aina za Coaster inayobeba abiria 30 inaruhusuiwa kuingi mbungani?
  • Mikumi kuna ruksa hio unalipia kisha mnaingia na gari yenu.
  • Ngorongoro kuingia na gari yako sharti ni lazima gari iwe 4x4.
Je Serengeti kuna ruhusa iyo?

NB: Kama gari aina ya Coaster hairuhusiwi, je kuna gari za kukodi na gharama yake ikoje kwa mtanzania wa hali ya kawaida anayependa kwenda kutembelea kivutio icho?

2. Je gharama za mtanzania mtu mzima kuingia ni kiasi gani?

3. Kwa wageni wanatoka nje ya mkoa husika ambapo Serengeti ndo inapotikana huduma za chakula na maradhi zikoje?

4. Kuna lile ballon huwa linaonekana mara nyingi, je gharama zake zikoje kuweza kulipanda?

5. Je ni kitu gani kingine cha muhimu natakiwa kuzingatia wakati wa kujiandaa kwenda Serengeti?

Naomba kuwasilisha, asante sana.

Mungu awabariki nyote.
Muwe na kazi njema.
Sorry tumechelewa kukupa mrejesho kwa sababu ya majukumu.
Asante kwanza kwa Uzi wako kwa sababu utawasaidia wengi.

Tuanze na viingilio.
Mtu mzima ni 11800 ( 12000) So hizo 11800 ipige mara siku unazokaa mbugani
0-4.9 free
5- 17= 3000-5000

2. Coaster inaruhusuwa maeneo yote kasoro Ngorongoro Creater.

Gari za kuingia Creater unaweza kuchukulia karatu kama mlifika pale na Bus

Kama unaenda Serengeti cha kujiandaa nacho inategemea mnaenda camping au lodge
Kama ni lodge uandae kibunda Tu
Kama ni camping uandae mpishi, mahema, na chakula cha kutosha according number of travellers

Uheshimu wanyama maana wewe ndio umewafwata kwenye territory yao

Dereva asipige honi

Wala wasafiri wasipige makelele

Usishuke kwenye gari mahali pasiporuhusi hadi campsite

Balloon ni 599$ hii haichagui uwe Mbongo uwe mzungu bei moja
Unaigeuza tu hiyo hela iwe shilingi


Nadhani nimekujibu
 
Sorry tumechelewa kukupa mrejesho kwa sababu ya majukumu.
Asante kwanza kwa Uzi wako kwa sababu utawasaidia wengi.

Tuanze na viingilio.
Mtu mzima ni 11800 ( 12000) So hizo 11800 ipige mara siku unazokaa mbugani
0-4.9 free
5- 17= 3000-5000

2. Coaster inaruhusuwa maeneo yote kasoro Ngorongoro Creater.

Gari za kuingia Creater unaweza kuchukulia karatu kama mlifika pale na Bus

Kama unaenda Serengeti cha kujiandaa nacho inategemea mnaenda camping au lodge
Kama ni lodge uandae kibunda Tu
Kama ni camping uandae mpishi, mahema, na chakula cha kutosha according number of travellers

Uheshimu wanyama maana wewe ndio umewafwata kwenye territory yao

Dereva asipige honi

Wala wasafiri wasipige makelele

Usishuke kwenye gari mahali pasiporuhusi hadi campsite

Balloon ni 599$ hii haichagui uwe Mbongo uwe mzungu bei moja
Unaigeuza tu hiyo hela iwe shilingi


Nadhani nimekujibu
Majibu murua kabisa
 
Sorry tumechelewa kukupa mrejesho kwa sababu ya majukumu.
Asante kwanza kwa Uzi wako kwa sababu utawasaidia wengi.

Tuanze na viingilio.
Mtu mzima ni 11800 ( 12000) So hizo 11800 ipige mara siku unazokaa mbugani
0-4.9 free
5- 17= 3000-5000

2. Coaster inaruhusuwa maeneo yote kasoro Ngorongoro Creater.

Gari za kuingia Creater unaweza kuchukulia karatu kama mlifika pale na Bus

Kama unaenda Serengeti cha kujiandaa nacho inategemea mnaenda camping au lodge
Kama ni lodge uandae kibunda Tu
Kama ni camping uandae mpishi, mahema, na chakula cha kutosha according number of travellers

Uheshimu wanyama maana wewe ndio umewafwata kwenye territory yao

Dereva asipige honi

Wala wasafiri wasipige makelele

Usishuke kwenye gari mahali pasiporuhusi hadi campsite

Balloon ni 599$ hii haichagui uwe Mbongo uwe mzungu bei moja
Unaigeuza tu hiyo hela iwe shilingi


Nadhani nimekujibu
Hiyo gharama ya balloon ni kwa siku ngapi?
 
Tunakatiza na Costa Mara kwa mara
Kizazi kipya kina shida ya akili Sana
Soma vizuri Post wacha kukurupuka
Swala la kukatiza kwenda Serengeti na kuingia Creater ni vitu viwili tofauti
Hapa tunaongelea kuingia ndani ya Creater not crossing Ngorongoro because is transit trip
 
Kizazi kipya kina shida ya akili Sana
Soma vizuri Post wacha kukurupuka
Swala la kukatiza kwenda Serengeti na kuingia Creater ni vitu viwili tofauti
Hapa tunaongelea kuingia ndani ya Creater not crossing Ngorongoro because is transit trip
Kwamba ngongoro yote Ni crater

Huko Serengeti ulienda na Bibi ako sisi tumeingia ngoro ngoro na Costa tukatoka
 
Ngorongoro watu hawaingii wanapita Ndio maana ni transit Hata mabasi yanapita ya kwenda kanda ya Ziwa. Crater ndio watu wanaingia
Sasa ameuliza kuingia
 
Kwanza hongera mleta mada ama kweli wewe ni mtz wa maana sana humu jf, mengine nadhani umepata miongozo ya awali...
 
Back
Top Bottom