Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Si korogwe girls mkuu,inaitwa magoma sec ni mchanganyiko iko korogweMkuu, ungeuliza kwanza korogwe girls ni miongoni wa shule bora mkoa wa Tanga na kwa wilaya hiyo wanakimbizana na mazinde juu