Endelea kujidaganya. Kitenge ni wale CCM kindakindaki na hapendi kinachoendeleaKitenge hajawahi kuwa mkereketwa wa CCM, tatizo lipo kwa Zembwela anayerukia mada!
Uko sahihi , Zembwela anajipendekeza ccm , halafu cha kusikitisha ccm haijawahi kumthamini , amuangalie Nchambi kama mfano hai .Kitenge hajawahi kuwa mkereketwa wa CCM, tatizo lipo kwa Zembwela anayerukia mada!
MKUU UNAIJUA NAMBARI YA KADI YA CCM YA KITENGE???!!Endelea kujidaganya .... Kitenge ni wale ccm kindakindaki na hapendi kinachoendelea ....
Kitenge atagombea ubunge Tabora mjini kwa tiketi ya CCM!Kitenge hajawahi kuwa mkereketwa wa CCM, tatizo lipo kwa Zembwela anayerukia mada!
Kitenge ni CCM!MKUU UNAIJUA NAMBARI YA KADI YA CCM YA KITENGE???!!
Mrema amekurupuka kana kwamba amefumaniwa!Nenda Twitter utaona jibu alilotoa maulid kitenge linatosha kumaliza mjadala mwisho wa siku Mrema ndo anaepaswa kuomba msamaha kwa kuandika vitu asivyokua na uhakika navyo
Kitenge hajawahi kuwa mkereketwa wa CCM, tatizo lipo kwa Zembwela anayerukia mada!
Endelea kujidaganya .... Kitenge ni wale ccm kindakindaki na hapendi kinachoendelea ....
ISIJE KUWA YALE YA JERRY MURO NA MWENZIE MANARA....
MANARA ALISEMA KUNA JAMBO ANALO KUHUSU MURO AMBALO AKILISEMA NCHI NZIMA ITASIMAMA NA ATAVULIWA CHEO ALICHONACHO.
HADI LEO JERRY MURO KATULIA TULIIIIII
Zembwela ana ndoto za kuteuliwa kushika udc!Uko sahihi , Zembwela anajipendekeza ccm , halafu cha kusikitisha ccm haijawahi kumthamini , amuangalie Nchambi kama mfano hai .
Shetani hana rafiki .
U DC kwa vituko uswahilini!!??Zembwela ana ndoto za kuteuliwa kushika udc!
In God we Trust
Zembwela aliishia la 6C!Zembwela tatizo lake ni shule tu, sina uhakika hata na angalau form four amefika
In God we Trust