Mwenye Updates za Stiegler's Gorge, SGR na bomba la Hoima atupatie. Mbona kama mbwembwe zimepungua? Tunakwama wapi?

Mwenye Updates za Stiegler's Gorge, SGR na bomba la Hoima atupatie. Mbona kama mbwembwe zimepungua? Tunakwama wapi?

December 31, 2020

'Kijiji cha Lukata Kinyala Rungwe Hakijawahi kuwa na Maji ya Bomba'' Naibu Waziri wa Maji Aelezwa


Wananchi wadai kwa mwendo huu hata miaka 40 hawataona maendeleo Rungwe
Source: MbeyaYetuonlinetv
 
Miradi yenyewe tunasaidiwa na serikali zingine lakini tunajipiga kifua binafsi kama vile tumeifanya wenyewe. Miradi ya kawaida tu lakin mbwembwe nyingi, waafrika bana tunashida sana, kila kitu siasa tu. Badala mjisifie kwenye sera zenye tija mnajisifia kwenye barabara... Poor creatures
Jengeni kwanza Ofisi ya Chama chenu ndiyo mnyooshe vidole kwa wengine.Poor Mindset
 
January 1, 2021
Kijiju cha Matuli ,Morogoro Vijijini
Tanzania

Mitandao ya Mawasiliano ya Simu Changamoto
Mbinu za ziada inatakiwa, mojawapo ni kuweka simu yako ktk machupa na kutundika mtini....unaiacha itafute network kwa masaa..urudi baadaye ...kuongea...



Source : millard ayo
 
January 1, 2021
Kijiju cha Matuli ,Morogoro Vijijini
Tanzania

Mitandao ya Mawasiliano ya Simu Changamoto
Mbinu za ziada inatakiwa, mojawapo ni kuweka simu yako ktk machupa na kutundika mtini....unaiacha itafute network kwa masaa..urudi baadaye ...kuongea...



Source : millard ayo
Tanzania itakuwa kama ulaya
 
Update ni kwamba Stiglers Gorge inaendelea vizuri. Sema maji yamejaa yamesababisha kusimama kwa uchimbaji wa diversion tunnel, mvua ikikata maji yakaisha kazi inaendelea kama kawaida. Kwa hili serikali inapaswa kupongezwa.

SGR pia ni project nzuri, iwapo itakamilika tutaona matunda yake. Kwa sasa hii ya Morogoro Dar iko karibu 80% na natumaini kufikia December mwaka huu itakua tayari. Ile ya Moro Dom iko 30%, 2024 au kabla ya hapo itakamilika.

Katika project naunga mkono na nafuatilia ni hizi kwa sababu zina long term benefits kuliko nyingine zote.
Bado tu maana Dec 2020 imeshapita
 
Tuliambiwa SGR Dar to Morogoro ingeanza Dec mwaka jana, Stiegler's Gorge nayo kimya. Sio Msemaji wa serikali wala Polepole wala praise team wanaogusia, nini kimewapata.

Bomba la mafuta toka Hoima Uganda hadi Tanga lilizinduliwa kwa mbwembwe tukaonywa atakayekwamisha atakiona, nani sasa amekwamisha. Je ule wimbo wetu wa kuhamia Dodoma umeishia wapi?

Tanzania ya viwanda imefikia wapi, juzi tuliambiwa tuna viwanda vikubwa, vya kati, vidogo na vidogo sana, sijui hivyo vidogo sana ni vya wachoma mahindi?

Ndege zetu zimepaki? yaani.

Mambo ni mengi sana muda hautoshi.
Kunywa mtori nyama zipo chini
 
Hapa tindo alikunyoosha kabisa ikabidi ukimbie, anyway vipi kipande cha sgr kutoka dar mpaka Moro bado tu?maana hii ni 2021
Dogo, SGR itajengwa na kuisha bila kujalj dua yenu mbaya. Mimi nakaa Mwanza. Januari hii ujenzi wa SGR kuanzia hapa Jijini kuelekea Isaka, Shinyanga utaanza. Ila ninyi endeleeni kuomba dua yenu. Ila kitu ambacho hakiwezi kufanyika na nina uhakika nacho ni Chadema kujenga Ofisi ya Makao Makuu. For that, I can bet even with my life!!! Ahahahahahahaha!!!!
 
Dogo, SGR itajengwa na kuisha bila kujalj dua yenu mbaya. Mimi nakaa Mwanza. Januari hii ujenzi wa SGR kuanzia hapa Jijini kuelekea Isaka, Shinyanga utaanza. Ila ninyi endeleeni kuomba dua yenu. Ila kitu ambacho hakiwezi kufanyika na nina uhakika nacho ni Chadema kujenga Ofisi ya Makao Makuu. For that, I can bet even with my life!!! Ahahahahahahaha!!!!
[/Q
Dogo, SGR itajengwa na kuisha bila kujalj dua yenu mbaya. Mimi nakaa Mwanza. Januari hii ujenzi wa SGR kuanzia hapa Jijini kuelekea Isaka, Shinyanga utaanza. Ila ninyi endeleeni kuomba dua yenu. Ila kitu ambacho hakiwezi kufanyika na nina uhakika nacho ni Chadema kujenga Ofisi ya Makao Makuu. For that, I can bet even with my life!!! Ahahahahahahaha!!!!
Achana na hiyo ndoto unayoota, hii miradi hata mkipewa miaka kumi na tano mbele hamtoboi,
Imagine dar-moro km 300 miaka 4 mmeshindwa kumaliza na mwanza kwenda dar ni zaidi ya km 1200, Je ni lini mtaweza kumaliza? na hapo tu assume other factors remain constant
 
January 8, 2021
Malinyi, Morogoro
Tanzania

Mbunge Antipas aililia TARURA



Mvua zilivyogeuza wilaya ya Malinyi mkoa wa Morogoro kuwa kama kisiwa, mbunge Antipas aokoa Jahahazi kuichangia gharama za ukarabati wa daraja.
Source : MwanaHALISI TV
 
Dogo, SGR itajengwa na kuisha bila kujalj dua yenu mbaya. Mimi nakaa Mwanza. Januari hii ujenzi wa SGR kuanzia hapa Jijini kuelekea Isaka, Shinyanga utaanza. Ila ninyi endeleeni kuomba dua yenu. Ila kitu ambacho hakiwezi kufanyika na nina uhakika nacho ni Chadema kujenga Ofisi ya Makao Makuu. For that, I can bet even with my life!!! Ahahahahahahaha!!!!
Mlitudanganya kuwa fedha za kujengea SGR ni zetu,leo ndiyo mmeumbuka baada ya kuutangazia umma kuwa mnategemea mkopo.
 
Dogo, SGR itajengwa na kuisha bila kujalj dua yenu mbaya. Mimi nakaa Mwanza. Januari hii ujenzi wa SGR kuanzia hapa Jijini kuelekea Isaka, Shinyanga utaanza. Ila ninyi endeleeni kuomba dua yenu. Ila kitu ambacho hakiwezi kufanyika na nina uhakika nacho ni Chadema kujenga Ofisi ya Makao Makuu. For that, I can bet even with my life!!! Ahahahahahahaha!!!!
Sijawahi kuona mtu mshamba kama wewe
 
Stategy nzuri naona ujenzi unafanyika toka mwanzo wa reli kwenda mwisho na mwisho kurudi mwanzo, hapo lazima mradi ukamilike.
 
Hivi waziri mwenye dhamana ameshindwa nini kuwazuia wale wote wanaoikandia ATCL kupata huduma kwenye ndege zetu? Tufike mahali jino liwe kwa jino. Zito na genge lake la wahuni wasipate hudumu kwenye ndege zetu. Wao wana pesa kutoka kwa shangazi zao wawakodishie private jets.
.[emoji1787]
 
Back
Top Bottom