Mwenye Updates za Stiegler's Gorge, SGR na bomba la Hoima atupatie. Mbona kama mbwembwe zimepungua? Tunakwama wapi?

Mwenye Updates za Stiegler's Gorge, SGR na bomba la Hoima atupatie. Mbona kama mbwembwe zimepungua? Tunakwama wapi?

Mramba miguu nakuona leo unapigania buku 7 za lumumba ili uwapeleke wanao shule

What a childish comment!! Kila anaye tofautiana na mawazo yenu finyu ni mlamba miguu - watu wenye mlengo wa skewed siasa kama zenu mkisikia Taifa letu limevamiwa mtakwenda picnic kufanya sherehe kwamba kiko wapi - u-sadism husio na kifani - unaweza kumbeza bezaje binadamu ambaye anaji-sacrifice kuwaleteeni maendeleo ya kweli, kuli paaisha Taifa letu kutoka kwenye uchumi wa spana mkononi mpaka kwenye Uchumi wa kati - mnataka Mungu awape nini, kama hamna hata chembe ya shukrani.
 
Ita unavyotaka wewe lakini fedha zitakazolipa hilo deni zinatokana na kodi yetu.

Tofautisha Kati ya Grant na Loan.
Kwanini basi asiseme tunajengewa kwa mkopo.
 
What a childish comment!! Kila anaye tofautiana na mawazo yenu finyu ni mlamba miguu - watu wenye mlengo wa skewed siasa kama zenu mkisikia Taifa letu limevamiwa mtakwenda picnic kufanya sherehe kwamba kiko wapi - u-sadism husio na kifani - unaweza kumbeza bezaje binadamu ambaye anaji-sacrifice kuwaleteeni maendeleo ya kweli, kuli paaisha Taifa letu kutoka kwenye uchumi wa spana mkononi mpaka kwenye Uchumi wa kati - mnataka Mungu awape nini, kama hamna hata chembe ya shukrani.
Haya kachukue buku 7 lumumba
 
HIZO ZA KUKEJELI MIRADI INAYOJENGWA KWA AJILI YETU SISI WENYEWE WATANZANIA NDIO MTANZANIA MIMI INANIACHA HOI KUPITA MAELEZO.PENGINE KUNA WATANZANIA WANALIPWA KUFANYA HAYO NA MALIPO YANAWEZA KUWA AINA NYINGI.HII HALI SIJAWAHI IONA NCHI ZINGINE YA WAZAWA KUFANYA KEJELI AU KUOMBEA MABAYA KWA MIRADI INAYOJENGWA NA SERIKALI YAO WENYEWE.SIJUI WANAOFANYA HIVO MIYONI MWAO WAKIJITAZAMA WANAJISIKIAJE.PENGINE WANAJIONA TU WAKO SALAMA.HIO NI DALILI KUWA TANZANIA KUNA BINADAM WENYE ROHO ZA KUTU ZAIDI KULIKO NCHI ZINGINE.INASHANGAZA NA INASIKITISHA SANA.

Si ndio hapo mkuu, ndio maana na insist kwamba baadhi ya Watanzania wenzetu wana akili za kichawi, kisaikolojia wanaweza kuwekwa kwenye kundi la ma - masochists i.e wenye traits za getting a kick out of physical hurting someone either sexually or otherwise like hurting one's feelings kisakokijia - wao ndiyo starehe zao hizo,namely: kumsema vibaya/beza efforts za JPM au chama tawala - they thrive on such skewed vices.
 
Hizo ni dalili tosha za kuishiwa hoja zenye mshiko - mpo mpo tu, kazi kubeza beza watawala.
Nenda chimba nambari 3 utakuta bahasha ya kijani kuna buku 7 maana leo umefanya kazi kubwa sana.
 
Tumesikia ombi lenu tutaendelea kulfanyia kazi..
 
What a childish comment!! Kila anaye tofautiana na mawazo yenu finyu ni mlamba miguu - watu wenye mlengo wa skewed siasa kama zenu mkisikia Taifa letu limevamiwa mtakwenda picnic kufanya sherehe kwamba kiko wapi - u-sadism husio na kifani - unaweza kumbeza bezaje binadamu ambaye anaji-sacrifice kuwaleteeni maendeleo ya kweli, kuli paaisha Taifa letu kutoka kwenye uchumi wa spana mkononi mpaka kwenye Uchumi wa kati - mnataka Mungu awape nini, kama hamna hata chembe ya shukrani.
Acha kutufanya watoto wadogo humu, unasema anajiscrifice kwani hizo hela anatoa mfukoni kwake? Hizo ni Kodi za watanzania mtu yeyote akipewa hiyo dhamana anawajibu wa kusimamia kodi za watanzania
 
January 10, 2021
Chome, Same
Kilimanjaro
Tanzania

HIZI NDIZO BARABARA HATARI ZAIDI, USIPOKUWA MAKINI UMEKWISHA, MOJA IPO SAME, KILIMANJARO..


Barabara ya Chome iliyopo Tanzania mkoa wa Kilimanjaro katika wilaya ya Same ni moja kati ya barabara zenye zinazohitaji umakini sana kwa madereva wanaoitumia, kwani inapita pembezoni mwa Milima na miinuko mikali, hali inayoweza kusababisha ajali kama dereva hatakuwa makini. Wazee wenyeji wanasema barabara hii ya Same kwenda Vudee, Chome ilifunguliwa na Mwalimu Julius Nyerere mwaka 1964 na ni juzi tu 2020 greda ikapitishwa ili kuirejesha ktk hali ya zamani.
Source : Global TV online
 
HIZO ZA KUKEJELI MIRADI INAYOJENGWA KWA AJILI YETU SISI WENYEWE WATANZANIA NDIO MTANZANIA MIMI INANIACHA HOI KUPITA MAELEZO.PENGINE KUNA WATANZANIA WANALIPWA KUFANYA HAYO NA MALIPO YANAWEZA KUWA AINA NYINGI.HII HALI SIJAWAHI IONA NCHI ZINGINE YA WAZAWA KUFANYA KEJELI AU KUOMBEA MABAYA KWA MIRADI INAYOJENGWA NA SERIKALI YAO WENYEWE.SIJUI WANAOFANYA HIVO MIYONI MWAO WAKIJITAZAMA WANAJISIKIAJE.PENGINE WANAJIONA TU WAKO SALAMA.HIO NI DALILI KUWA TANZANIA KUNA BINADAM WENYE ROHO ZA KUTU ZAIDI KULIKO NCHI ZINGINE.INASHANGAZA NA INASIKITISHA SANA.
Ndiyo hawa sasa: Siri ya mashtaka yaliyowatia hatiani Tito Magoti, mwenzake
 
Tuliambiwa SGR Dar to Morogoro ingeanza Dec mwaka jana, Stiegler's Gorge nayo kimya. Sio Msemaji wa serikali wala Polepole wala praise team wanaogusia, nini kimewapata.

Bomba la mafuta toka Hoima Uganda hadi Tanga lilizinduliwa kwa mbwembwe tukaonywa atakayekwamisha atakiona, nani sasa amekwamisha. Je ule wimbo wetu wa kuhamia Dodoma umeishia wapi?

Tanzania ya viwanda imefikia wapi, juzi tuliambiwa tuna viwanda vikubwa, vya kati, vidogo na vidogo sana, sijui hivyo vidogo sana ni vya wachoma mahindi?

Ndege zetu zimepaki? yaani.

Mambo ni mengi sana muda hautoshi.
Mliambiwa? Na nani? Wewe na nani? Unachochea hasira zako za wivu bure, itakusaidia nini? Tafuta shoka anza kukata tamaa, Uchaguzi ushaisha tubiri 2030. If y,ou are serious nenda TRC au TANESCO watakajuvya lakini watakuuliza unauluza kama nani na iweje? Utajibuje! I hope hukutumwa toka Amsterdam au Ubelgiji.
 
Back
Top Bottom