Mwenye ushawishi mkubwa kisiasa CHADEMA

Mwenye ushawishi mkubwa kisiasa CHADEMA

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Viongozi waandamizi chadema kwa mfano, Lissu na Mbowe, wana nguvu sana kisiasa, wana uwezo mkubwa kujieleza, kutetea na kujenga hoja, wana maono, vipawa vya kipekee sana, nia, dhamira njema, ndoto, hulka za uongozi.

Kwa hali halisi ya kisiasa wakati huu, na kwa nguvu na uwezo wao binafsi, ni nani miongni mwao ana ushawishi mkubwa, anaamunika na anakubalika kwa kiasi kikubwa kwa wananchi kwa sasa ndani na nje ya CHADEMA?🐒
 
Una kazi za kufanya?. Kila siku CHADEMA. Mbona hujadili mwanasiasa mwenye ushawishi ni CCM ni nani?.
sorry kamanda,
Kwan umehemka au umehamanika na hii? si useme tu ni kati au kaskaz, na uendelee na jogging 🐒
 
Tuanzie ndani ya Chadema Lisu Hana nguvu kubwa kama anavyodhani sababu ya kabila lake na dini yake

Ndani na nje ya Chadema wachaga kabila la Mbowe ni wengi kuliko wanyaturu kabila la Lisu na wamesambaa nchi nzima .Na wachaga Wana heshimiana sana

Pili dini ya Lisu.Chadema walioshikilia kundi kubwa ni Walutheri dini ya Mbowe sio Wakatoliki dini ya Tundu Lisu
Wakatoliki wengi hawako Chadema wako CCM

Ukatoliki wake zukipigwa kura popote washindanishwe Lisu na Mbowe ndani na nje ya Chadema Lisu anabwagwa chini mapema asubuhi kabla jogoo kuwika
 
Tuanzie ndani ya Chadema Lisu Hana nguvu kubwa kama anavyodhani sababu ya kabila lake na dini yake

Ndani na nje ya Chadema wachaga kabila la Mbowe ni wengi kuliko wanyaturu kabila la Lisu na wamesambaa nchi nzima .Na wachaga Wana heshimiana sana

Pili dini ya Lisu.Chadema walioshikilia kundi kubwa ni Walutheri dini ya Mbowe sio Wakatoliki dini ya Tundu Lisu
Wakatoliki wengi hawako Chadema wako CCM

Ukatoliki wake zukipigwa kura popote washindanishwe Lisu na Mbowe ndani na nje ya Chadema Lisu anabwagwa chini mapema asubuhi kabla jogoo kuwika
sikuwahi kufikiria ulichoandika dah!

sio kitu kizuri ila ndio ukweli wenyewe kabisa ..

hoja yako ni nzito mno, politically speaking,
thank you gentleman 🐒
 
Viongozi waandamizi chadema kwa mfano, Lissu na Mbowe, wana nguvu sana kisiasa, wana uwezo mkubwa kujieleza, kutetea na kujenga hoja, wana maono, vipawa vya kipekee sana, nia, dhamira njema, ndoto, hulka za uongozi.
Kweli..
Huku Lumumba tumejitahidi sana kuwanunua ila imeshindikana
 
Viongozi waandamizi chadema kwa mfano, Lissu na Mbowe, wana nguvu sana kisiasa, wana uwezo mkubwa kujieleza, kutetea na kujenga hoja, wana maono, vipawa vya kipekee sana, nia, dhamira njema, ndoto, hulka za uongozi.

Kwa hali halisi ya kisiasa wakati huu, na kwa nguvu na uwezo wao binafsi, ni nani miongni mwao ana ushawishi mkubwa, anaamunika na anakubalika kwa kiasi kikubwa kwa wananchi kwa sasa ndani na nje ya CHADEMA?🐒
Tusiigawe Chadema kwa maoni haya tafadhali kila kiongozi ana nafasi yake katika chama.
 
Back
Top Bottom