Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe watu wa humu wanavosemaga ww sio mtanzania n kweli eeh,,,,,sjawahi kuelewa kiswahili chako hata sku mojaUnaoa bubu hii ni kali sana aisee inaonyesha mabubu sasa hivi wametrend sana .
Kama wakina wema sepetu .
Zamani .
Nimejua kwanini ukimwoa anayeongea utapigiwa kelele ila babaa kelele atakuwa poa sana.
Mkuu nawaza miguno yake tu wakati wa naniliu!..[emoji28]
Bwana na asimame nawe umpate umtakae
ishara ipi hiyo?Kwa ishara mkuu.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]kumbe watu wa humu wanavosemaga ww sio mtanzania n kweli eeh,,,,,sjawahi kuelewa kiswahili chako hata sku moja
hata hii comment cjaelewa umemaanisha nn
Nifundishe basi kiswahili utakacho elewakumbe watu wa humu wanavosemaga ww sio mtanzania n kweli eeh,,,,,sjawahi kuelewa kiswahili chako hata sku moja
hata hii comment cjaelewa umemaanisha nn
Mi nakuelewa nadhani anatania don't take it too serious...enjoy the forum!Nifundishe basi kiswahili utakacho elewa
Wala sipigani nimempa uhuruMi nakuelewa nadhani anatania don't take it too serious...enjoy the forum!
Mkuu usihadaike na hali ya kuwa ni bubu ukadhani atatulia,,..mwanamke ni yule yule tofauti ni kuongea tu..tena mabubu wa siku hizi na uongo pia wanao...kuna binti mmoja mitaani huku ni bubu na tunabomoa kama kawaida... Tena wala uhitaji kiswahili kingi....halafu ni muongo balaa,,..bubu ni zamani,,siku hizi ukipata namba zake za Simu bubu kaliwa...Wakuu niende moja kwa moja kwenye mada, kuna binti nimemuona ni bubu nahitaji nimnusuru kwa maana ya kumuoa.
Kuhus mawasiliano nashukuru tunaelewana japo kwa ishara japo ndio hivyo ni mwendo wa aba ba ba ba lakini sio inshu sana cha muhimu lile la muhimu kama mke analimudu.
Ningependa kupata mbili tatu wenye uzoefu wa hawa mabubu.
Jiandae kuwa kurudi ukichelewa na akawahi kulala sijui nani takufungulia mlango hata utumie nyundo hawasikii na usiombe afungulie radio hiyo sautiWakuu niende moja kwa moja kwenye mada, kuna binti nimemuona ni bubu nahitaji nimnusuru kwa maana ya kumuoa.
Kuhus mawasiliano nashukuru tunaelewana japo kwa ishara japo ndio hivyo ni mwendo wa aba ba ba ba lakini sio inshu sana cha muhimu lile la muhimu kama mke analimudu.
Ningependa kupata mbili tatu wenye uzoefu wa hawa mabubu.
Hakika kabisa hata mimi mtaani kwangu yupo mmoja single kule mikoroshini kwa maganga ana watoto 8 anazaa kila mwaka lakini baba zao awajulikani. Yeye bado anaishi kwa wazazi wake.Mkuu usihadaike na hali ya kuwa ni bubu ukadhani atatulia,,..mwanamke ni yule yule tofauti ni kuongea tu..tena mabubu wa siku hizi na uongo pia wanao...kuna binti mmoja mitaani huku ni bubu na tunabomoa kama kawaida... Tena wala uhitaji kiswahili kingi....halafu ni muongo balaa,,..bubu ni zamani,,siku hizi ukipata namba zake za Simu bubu kaliwa...
Tena watu wana bomoa haswa...bila kujali ububu wakeHakika kabisa hata mimi mtaani kwangu yupo mmoja single kule mikoroshini kwa maganga ana watoto 8 anazaa kila mwaka lakini baba zao awajulikani. Yeye bado anaishi kwa wazazi wake.