Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wivu huo...Unaoa bubu hii ni kali sana aisee inaonyesha mabubu sasa hivi wametrend sana .
Kama wakina wema sepetu .
Zamani .
Nimejua kwanini ukimwoa anayeongea utapigiwa kelele ila babaa kelele atakuwa poa sana.
Basi wakuu nimegairi..
Wivu gani na nimeolewa aisee single ndio wana wivuwivu huo...
Basi wakuu nimegairi..
U said it all maa... Hamna mtu amekamilika na atakua haoi kama atakua anaskiza kila kitu kibaya watu wanasema kuhusu watu fulan..Muowe usisikilize maneno ya watu, Mungu akufanyie wepesi kwa roho yako nzuri ya kumstiri huyo Bubu, Imagine angekua ni binti yako au dada yako wa damu ungejiskia furaha kiasi gn akipata mume na hali aliozaliwa nayo ya Ububu? Nobody is Perfect, asiekua na hili ana lile.
U said it all maa... Hamna mtu amekamilika na atakua haoi kama atakua anaskiza kila kitu kibaya watu wanasema kuhusu watu fulan..
U said it all maa... Hamna mtu amekamilika na atakua haoi kama atakua anaskiza kila kitu kibaya watu wanasema kuhusu watu fulan..