Andika maelezo yenye kujitosheleza kuonyesha pia faida kwa siku tuma kwenye namba niliyotoa.Mbogamboga
Kwa chugga labda bange......Kama upo Arusha na una wazo la biashara kwa mtaji wa elfu hamsini (50,000) ila huna mtaji niandikie meseji inayoelezea wazo lako kisha tuma kwenda namba 0768174862. Nitatoa mitaji kwa mawazo nitakayoona yanatekelezeka na kwa masharti tutakayokubaliana. Karibuni
Unaomba kama unaombwa au vipi bhanaKama upo Arusha na una wazo la biashara kwa mtaji wa elfu hamsini (50,000) ila huna mtaji niandikie meseji inayoelezea wazo lako kisha tuma kwenda namba 0768174862. Nitatoa mitaji kwa mawazo nitakayoona yanatekelezeka na kwa masharti tutakayokubaliana. Karibuni
Nice one....Jaribu Biashara ya shanga, bangili na heren za kiasili
Ni hatari Kwanza Mimi haichukui "round"Ungenipa mimi nikaipigie gambe. Nikilewa nitapata mawazo ya mabilioni.