Kuna dili au unataka uelekezwe anapopatina mganga mzuri wa kukupa utajiri?Habarini humu.
Nahitaji mtu ambaye ni mwenyeji Mheza yaani awe anapajua vizuri anicheki PM kuna dili nataka tuzungumze
Unahitaji mganga wa huko?Habarini humu.
Nahitaji mtu ambaye ni mwenyeji Mheza yaani awe anapajua vizuri anicheki PM kuna dili nataka tuzungumze
Ushirikina hautakuacha salamaUnahitaji mganga wa huko?
Sema nikupe connection
Kuna mzee mmoja hapo ni balaa Yaani hata kama kuna mtu kakufanyia ubaya unataka kulipa kisasi au kuua kabisa ni chap tu ukiwa na milioni unatanguliza nusu anapiga kazi then ukisikia msiba tu unamalizia nusu iliyobaki.
Ila uwe na hakika kwamba huyo mtu kakukosea
Ushirikina
Mkuu biashara ya majeneza bila ndumba mambo hayawezi kwendaUshirikina hautakuacha salama
Funguka hapa hapa tu bro tupate koneksheni za waganga wa maana.....namie nataka mganga πΉπ€π€
Bado, ila nkipata mganga konki natoboa..... Kwahiyo muheza uhakika? πΉWe evelyn siushatoboa ..??
π€£π€£π€£π€£π€£ toa code muheza huko, majogoo huku bandani yanapigana tu....#binti mdogo ushirikina utakuuwa
Hata mimiSio mshirikina mm ππ
πUkiweza kutulia ukajisafisha na kuwa na utamaduni wa kuomba usiku around saa 2:40 AM .
Unaweza kuilisha madhabau yako na ukapata kibali Kama wengine.
Kujitangaza na kuhakikisha unakuwa na MTU wa kukutafutia Sana Kazi (Network)
Mambo mengine utaliwa hela zako bure na Waganga and the more unaloga the more unashusha kinga zako za kiroho .