Kuna sehemu nilikaa kijiwe cha mitaani nikisikiliza habari za vijana wanazodokezewa na wahusika wa serikali. Moja ya tatizo ni tamaa ya mwaziri pia. Unamkuta waziri Lukuvi anatatua migogoro ya ardhi kila kona aendako, lakini wakati huo huo yeye mwenyewe anatafuta viwanja na mashamba kila mkoa!
Kwa wadhifa wake, viwanja na mashamba hapati bila kuwatumia maafisa ardhi. Kama ni hivyo, atawezake kuwakemea wanapokuwa wamekosea? Ndo maana matatizo hayaishi!! Waziri ana viwanja Mwanza, Iringa, Arusha, Dar, etc. Lengo ni nini? HAta kama ni haki yake kama raia, ni vibaya kumiliki rasrimali kwa urafi kiasi hicho! Waziri ukishakuwa mrafi, nani akuamini? Ndo maana kila mtu anatamani kumuona rais. Hawa wasaidizi wake ni urafi uliokithili!!