Huyu hajui dunia ,simwombei mabaya Mbowe , ila vipi ikitokea amekufa , na chama ndo kitakua kimekufa , uhuni tu wa maneno toka kwa wahuni , mtashangaa ,lissu Mwenyekiti ajae wa ChademaWakuu,
Viongozi mbalimbali wa CHADEMA wameendelea kutoa matamko yao wakati wakiwa wanaelekea kwenye Uchaguzi
Haya ni maneno ya Rose Moshi, Mwenyekiti BAWACHA Kanda ya Pwani
"Sioni sababu za kumbadilisha na kumuondoa tunatakiwa kumuombea ili aendelee na moyo huo huo wa ujasiri mpaka hapo tutakapofikia lengo letu la kukamatwa dola"
View attachment 3183313
Mbowe akifa na chama hakichukui round kinakufa. Hata sasa Lissu akiwa Mwenyekiti basi jua Chadema imekufa!Huyu hajui dunia ,simwombei mabaya Mbowe , ila vipi ikitokea amekufa , na chama ndo kitakua kimekufa , uhuni tu wa maneno toka kwa wahuni , mtashangaa ,lissu Mwenyekiti ajae wa Chadema
Kapigeni kura acheni keleleDola ya konyo mwenyekiti, yaani dola iletwe na DJ..!
Kabisa.Wakuu,
Viongozi mbalimbali wa CHADEMA wameendelea kutoa matamko yao wakati wakiwa wanaelekea kwenye Uchaguzi
Haya ni maneno ya Rose Moshi, Mwenyekiti BAWACHA Kanda ya Pwani
"Sioni sababu za kumbadilisha na kumuondoa tunatakiwa kumuombea ili aendelee na moyo huo huo wa ujasiri mpaka hapo tutakapofikia lengo letu la kukamatwa dola"
View attachment 3183313
Sio kweli , chadema ipo na watu , hata mie binafsi uwezo wangu kuongoza chama ichi Lissu n Mbowe nimewaacha mbali sana ,tusibabaishweMbowe akifa na chama hakichukui round kinakufa. Hata sasa Lissu akiwa Mwenyekiti basi jua Chadema imekufa!
💯Huyu ni mtu wake wa sirini ndio sababu anasema haya
Ahahahahaha! Of wishes were horses, everybody could ride them! Ahahahahaha!!!Sio kweli , chadema ipo na watu , hata mie binafsi uwezo wangu kuongoza chama ichi Lissu n Mbowe nimewaacha mbali sana ,tusibabaishwe
Hujitambui , Mbowe hata kesho afe ,chadema itakuapo ,si mwombei kifo Mbowe ,nampeda sana, ila ni wakati wa lissu periodMbowe akifa na chama hakichukui round kinakufa. Hata sasa Lissu akiwa Mwenyekiti basi jua Chadema imekufa!