Uchaguzi 2020 Mwenyekiti CCM MARA: Wasaliti na Watoa Rushwa Hawana nafasi ndani ya CCM

Uchaguzi 2020 Mwenyekiti CCM MARA: Wasaliti na Watoa Rushwa Hawana nafasi ndani ya CCM

Haha Haha waitara arudi kuuza mayai ukonga hana chake
 
Atende haki kama kweli katoa pesa aweke ushahidi usio na shaka kwani waitara ni mtoa Rushwa hata ukonga aligawa Rushwa akapora ushindi kwa njia haramu, asije kuwaonea wengine kwa mgongo wa waitara ambaye Dodoma anasubiriwa kupewa jimbo kwani mwenyekiti wa CCM Taifa hawezi kusiliza chochote hata wakienda na ushahidi wa video baada ya Bashite chaguo la mtukufu ni waitara sasa
Sijamtuma mtu agombee ubunge.JPM
 
Ila CCM wagombea wote tulitoa rushwa bana asimuonee mlevi wetu
 
Huyo ndio haswa mlengwa. Kutachimbika. Ila huyo namba tatu hana ubavu wa kukata mtu ni maneno tu yanamtoka baada ya jamaa kupindua meza.
Labda kama ana backup ya Jiwe, Waitara kama Hana backup ya Magufuli, amekwishw, kwani alianza kampeni za Mapema sana Huko Tarime vijijini huku akitumia cheo chake Cha unaibu Waziri na alilalamikiwa Sana tu, ngoja tuone
 
Hayupo wa kumshinda Heche zaidi ya Waitara ,pengine Kiboye kachoka kazi ya umwenyekiti na anataka kuhamia upinzani
CCM Wana jeshi, Wana Tume ya uchaguzi, na Wakurugenzi wote mfukoni mwao, wakitamka kuichukua Jimbo lolote wanalichukua, awepo Waitara ama asiwepo
 
Muongo huyo aanze na mwita WAITARA otherwise anaongea kuwafirahisha wakuu wake
 
Labda kama ana backup ya Jiwe, Waitara kama Hana backup ya Magufuli, amekwishw, kwani alianza kampeni za Mapema sana Huko Tarime vijijini huku akitumia cheo chake Cha unaibu Waziri na alilalamikiwa Sana tu, ngoja tuone
Kiongozi soma tu alama za nyakati. Kwanza kule wanataka kurudisha jimbo na Waitara ndio anaweza japo kupambana na Heche.

Pili, Wageni wote wamepigwa spana na ni wawili tu waliofanikiwa kuongoza kwenye kura za maoni sasa wakimkata Waitara maumivu yatakuwa hayamithiliki!!

Tatu, huyo Namba 3 ana mambo yake
 
Kiongozi soma tu alama za nyakati. Kwanza kule wanataka kurudisha jimbo na Waitara ndio anaweza japo kupambana na Heche.

Pili, Wageni wote wamepigwa spana na ni wawili tu waliofanikiwa kuongoza kwenye kura za maoni sasa wakimkata Waitara maumivu yatakuwa hayamithiliki!!

Tatu, huyo Namba 3 ana mambo yake
CCM Wana polisi, Tume ya uchaguzi, Wakurugenzi, wakitamka kurudisha Jimbo lolote linarudi, hawana haja ya kumtegemea Waitara,
 
Back
Top Bottom