powercert_Tz
Member
- Jul 19, 2022
- 45
- 44
Tundu lisu anataarifa hizi kweliiiMwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Mikumi, Bakari Hasani amekihama chama hicho na kujiunga na CCM na kusema ameridhika na kazi zinazofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan na ameamua kumuunga mkono.
Rais Samia anaupiga mwingi sana. #mamayukokazini #mamaanafanikisha #kaziiendelee
Hana namna, upinzani hawana ushawishi tena. Hata ukisikiliza mikutano yao, hamna point, sana sana ni kuwadanganya wananchiTundu lisu anataarifa hizi kweliii
Kuna vyeo vingi sana huko na watu wenye sifa hakuna ngoja akale uteuzi.Mwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Mikumi, Bakari Hasani amekihama chama hicho na kujiunga na CCM na kusema ameridhika na kazi zinazofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan na ameamua kumuunga mkono.
Rais Samia anaupiga mwingi sana. #mamayukokazini #mamaanafanikisha #kaziiendelee
Haaaaa haaaaaa. Ngojaaa tuendelee kusikiliza sera zao. Ni boraa CCM ikae kimyaa tuu, baadae watachokaa, na wataacha wenyeweeHana namna, upinzani hawana ushawishi tena. Hata ukisikiliza mikutano yao, hamna point, sana sana ni kuwadanganya wananchi
Mwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Mikumi, Bakari Hasani amekihama chama hicho na kujiunga na CCM na kusema ameridhika na kazi zinazofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan na ameamua kumuunga mkono.
Rais Samia anaupiga mwingi sana. #mamayukokazini #mamaanafanikisha #kaziiendelee
WAMEHAMA KINA HALIMA MDEE ITAKUWA YEYE AENDE Malaya wa Kisiasa haoMwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Mikumi, Bakari Hasani amekihama chama hicho na kujiunga na CCM na kusema ameridhika na kazi zinazofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan na ameamua kumuunga mkono.
Rais Samia anaupiga mwingi sana. #mamayukokazini #mamaanafanikisha #kaziiendelee
Hata Magufuli alisema ameiua Akafa yeye Angalia USIFE ukaiiacha ChademaChadema ishakufa kifo cha mende tangu walipofanya maridhiano ni kama wamepunguzwa nguvu
CCM yamejaa matutusa tupu imebidi Samia aje kuchukua vichwa huku Chadema,huko mumekalia uchawa tuMambo ya kizamani hayo
Mwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Mikumi, Bakari Hasani amekihama chama hicho na kujiunga na CCM na kusema ameridhika na kazi zinazofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan na ameamua kumuunga mkono.
Rais Samia anaupiga mwingi sana. #mamayukokazini #mamaanafanikisha #kaziiendelee
Tundu lisu anataarifa hizi kweliii
Utakuta alisha tumbuliwa miaka kibao Chadema. Halafu Ccm na propaganda wakamuokota jalalani.Mwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Mikumi, Bakari Hasani amekihama chama hicho na kujiunga na CCM na kusema ameridhika na kazi zinazofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan na ameamua kumuunga mkono.
Rais Samia anaupiga mwingi sana. #mamayukokazini #mamaanafanikisha #kaziiendelee
Chadema ishakufa kifo cha mende tangu walipofanya maridhiano ni kama wamepunguzwa nguvu
Wasikuhangaishe hawa Lumumba. Washakosa cha kuandika wamebaki kutapatapa tuZipi?. Wamehama akina Slaa na Zitto sembuse mtu mdogo Kama huyo.
Hana namna, upinzani hawana ushawishi tena. Hata ukisikiliza mikutano yao, hamna point, sana sana ni kuwadanganya wananchi
Haaaaa haaaaaa. Ngojaaa tuendelee kusikiliza sera zao. Ni boraa CCM ikae kimyaa tuu, baadae watachokaa, na wataacha wenyewee