Mwenyekiti CHADEMA Mikumi ahamia CCM

Mwenyekiti CHADEMA Mikumi ahamia CCM

Kipi walikisema akina point? Tatizo wewe ndio mwenye shida ya kujua jema Ni lipi.
Alie sababisha bei ya vyakula kupanda ni Rais Samia? (huku ni kukosa point) . Bei ya maharage ni sawa na nyama?(Huu ni uongo mtupu)
 
Hata Magufuli alisema ameiua Akafa yeye Angalia USIFE ukaiiacha Chadema
chama hakina jipya tena kishajifia na ukitaka kudhibitisha hilo utaona mikutano yao wanayodai wameruhusiwa 😃( imagine hata haki yao hawaijui)itakavyokuwa na fainali 2025 hamna kitu hapo mshashikwa sharubu mmelowa Mkiti wenu mwenyewe kaishiwa nguvu
 
chama hakina jipya tena kishajifia na ukitaka kudhibitisha hilo utaona mikutano yao wanayodai wameruhusiwa 😃( imagine hata haki yao hawaijui)itakavyokuwa na fainali 2025 hamna kitu hapo mshashikwa sharubu mmelowa Mkiti wenu mwenyewe kaishiwa nguvu

Kingekuwa kimeisha usingeongea kwa hasira kiasi hiki.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Mikumi, Bakari Hasani amekihama chama hicho na kujiunga na CCM na kusema ameridhika na kazi zinazofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan na ameamua kumuunga mkono.

Rais Samia anaupiga mwingi sana. #mamayukokazini #mamaanafanikisha #kaziiendelee
Jambo sio kuridhika au kutoridhika,ila ni imani na uzalendo kwa taifa na watu wake,iwapo karidhika kwa kuwa tu kaahidiwa kwake njaa basi,huko ni kulihujumu taifa letu na ukosefu wa uzalendo uliopitiliza.,🤔
 
Chadema isipokaa na kuja na mikakati mipya na será mbadala haitakwemda MBALI ZAIDI ya kupiga kelele majukwaani.
Enzi za Akina Mdee, LISU AKIWA KIJANA ,ZITO KABWE ,Dr.Slaa,Sugu, Profesor Jay, Wenje,Ester Bulaya,Ndesamburo n.k. Chadema ilikuwa imara sana Lakini Kwa Sasa mana wamechoka ,pumzi imewaishia wanaangalia maslahi angalau wapate za kustaafia na wale bata . Mbowe anashinda na kulala Kulala kwenye Club atapata wapi muda Wa kuyatafakari MATATIZO ya watanzania. Hana jiipya zaidi ya JPM na mikutano ya Siasa kufungiwa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Chadema isipokaa na kuja na mikakati mipya na será mbadala haitakwemda MBALI ZAIDI ya kupiga kelele majukwaani.
Enzi za Akina Mdee, LISU AKIWA KIJANA ,ZITO KABWE ,Dr.Slaa,Sugu, Profesor Jay, Wenje,Ester Bulaya,Ndesamburo n.k. Chadema ilikuwa imara sana Lakini Kwa Sasa mana wamechoka ,pumzi imewaishia wanaangalia maslahi angalau wapate za kustaafia na wale bata . Mbowe anashinda na kulala Kulala kwenye Club atapata wapi muda Wa kuyatafakari MATATIZO ya watanzania. Hana jiipya zaidi ya JPM na mikutano ya Siasa kufungiwa.
Ndio maana mkawatengenezea COVID-19 sio,sasa covid inawala nyie wenyewe 🤔
 
Back
Top Bottom