Pre GE2025 Mwenyekiti CHADEMA, Singida: Maandalizi ya kumpokea Lissu yameiva, Ng'ombe zaidi ya 15 waandaliwa kusherehekea ushindi wake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mag3 mimi ni chdema damu damu, lakini kwa mwenendo wa Lisu aliouonesha kwenye kampeni, NABAKI KUWA WELL WISHER WTH NO ACTIVE PARTICIPATION IN ANY CHADEMA BUSSINESS
Nakutakia kila la heri katika msimamo wako huo. Mimi si mwana Chadema lakini naunga juhudi zao katika mapambano dhidi ya chama cha wanafiki, wezi, waongo na walafi kama CCM.

Sijali nani ni kiongozi mradi kachaguliwa na wananchama katika uchaguzi ulio huru, wa haki na wa wazi na yuko tayari kuendeleza hayo mapambano bila woga, hofu, tamaa ya utajiri na unafiki.

Nampongeza mwenyekiti mpya Mh. Tundu Antiphas Lissu. makamu mwenyekiti Mh. John Heche na viongozi wote waliopatikana katika uchaguzi kwa ngazi zote...a luta continua!
 
Yaleyale alikuwa akimponda Mobutu Seseseko kuwa ohhh anaendekeza kwao

Sasa hebu wasikie yeye anapokekewa kwao kuwa ni shughuli ya kitaifa hivyo wana Chadema wamechanga taifa nzima na nje kugharimia gharama za sherehe yake kwao singida!!

Huyo ndio Tundu Mobutu Seseseko Lisu akielekea kwao kwa gharama za Wanachadema kitaifa na kimataifa kusherehekea ushindi wake wa Mwenyekiti wa taifa akifuata nyao za baba yake Mobutu Seseseko wa Zaire
 
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Singida, Omar Athumani Toto, akielezea maandalizi ya mapokezi ya Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa, Mhe. Tundu Lissu wilayani Ikungi tarehe 15 Februari hii
Bwana nyama atakayekagua hiyo nyama atapewa maelekezo toka juu isiliwe
 
Mbowe hajawahi kwenda kujipongeza kijijini kwa kwa gharama za wana Chadema nchi nzima kumchangia asherehekee ushindi wake

Lisu fisadi
Lissu mwizi wa fedha za watu. Kila siku kulialia achangiwe. Hata juzi kauli ya kwanza tu akiwa Mwenyekiti anaomba achangiwe! Fisadi tu!
 
Huyo ndio Tundu Mobutu Seseseko Lisu akielekea kwao kwa gharama za Wanachadema kitaifa na kimataifa kusherehekea ushindi wake wa Mwenyekiti wa taifa akifuata nyao za baba yake Mobutu Seseseko wa Zaire
Sa100 na Kizimkazi yake vipi?
Machawa kwa unafiki mmebobea
 
Kumpinga Lissu kwa sasa ni kupinga kauli ya Muumba kuhusu ukombozi wa Taifa letu.

Lissu aungwe mkono na makundi yote wapigania HAKI wa Taifa letu.
Ukiona mtu anaponda mpango huu basi elewa huyo ni chawa wa Kizimkazi.

Go Lissu Go.
 
Hii sasa ni Sifa🤣🤣
 
Kumpinga Lissu kwa sasa ni kupinga kauli ya Muumba kuhusu ukombozi wa Taifa letu.

Lissu aungwe mkono na makundi yote wapigania HAKI wa Taifa letu.
Ukiona mtu anaponda mpango huu basi elewa huyo ni chawa wa Kizimkazi.

Go Lissu Go.
Lissu anaenda Singida kama vile Yesu alivgoingia Yerusalem.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…