Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Mkuu si tulishaachana na habari za huyo Bwana wa zamani?Kumng'oa nduli mbowe unaona sio kitu tangible achievement?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu si tulishaachana na habari za huyo Bwana wa zamani?Kumng'oa nduli mbowe unaona sio kitu tangible achievement?
Haters🤣🤣🤣Mbowe hajawahi kwenda kujipongeza kijijini kwa kwa gharama za wana Chadema nchi nzima kumchangia asherehekee ushindi wake
Lisu fisadi
umekosa hekima mpaka unatukana ndugu!stupid, ushindi wa kwenda wapi? ame achieve nini tangible? Ujinga huu ndio unaoiangusha chadema
Hahaha......jamaa amefuraumekosa hekima mpaka unatukana ndugu!
Godbless Lema njoo ku comment humu nyie na Lisu mlikuwa mkishambulia Mama Kizimkazi na Magufuli na mambo ya kupenda vijijini kwaoSa100 na Kizimkazi yake vipi?
Machawa kwa unafiki mmebobea
mjuba povu la nini?stupid, ushindi wa kwenda wapi? ame achieve nini tangible? Ujinga huu ndio unaoiangusha chadema
PumbavuLissu mwizi wa fedha za watu. Kila siku kulialia achangiwe. Hata juzi kauli ya kwanza tu akiwa Mwenyekiti anaomba achangiwe! Fisadi tu!
Ushauri mzuri sana. Waache wazibe masikio yao kisha waje watuombe michango ya no reform.Waste of money and resources, uzeni hao Ng'ombe pesa iende kusaidia mashina. Kwani Lisu kamshinda CCM, akimshinda CCM tutachinja nusu ya Ng'ombe Tanzania.
Mbowe na Lisu wamepokezana kijiti
Ahahahahaha!!Pumbavu