Mwenyekiti CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe kuongea na Taifa leo Jan 03, 2020 jioni

Mwenyekiti CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe kuongea na Taifa leo Jan 03, 2020 jioni

Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Freeman Mbowe leo Jumapili, Januari 3, 2021, atazungumza na Watanzania kupitia hotuba atakayoitoa kwa Taifa na kurushwa moja kwa moja kupitia mitandao ya kijamii (YouTube, Twitter na Instagram), kuanzia saa 1.00 jioni.

Stay tuned!
Mkuu jana nilikuambia viongozi wa cdm wanatabia ya kutokujali muda, na ratiba zao sio za uhakika. Hili ni kosa kubwa kiufundi, na linaonyesha kukosa umakini, labda kama taarifa yako uliyoleta sio ya kweli.
 
Mkuu jana nilikuambia viongozi wa cdm wanatabia ya kutokujali muda, na ratiba zao sio za uhakika. Hili ni kosa kubwa kiufundi, na linaonyesha kukosa umakini, labda kama taarifa yako uliyoleta sio ya kweli.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Freeman Mbowe leo Jumapili, Januari 3, 2021, atazungumza na Watanzania kupitia hotuba atakayoitoa kwa Taifa na kurushwa moja kwa moja kupitia mitandao ya kijamii (YouTube, Twitter na Instagram), kuanzia saa 1.00 jioni.

Stay tuned!

This is typical African and specific Tanzanian's style of making appointments....!!

How come that for 24hrs we stayed tuned waiting for CHADEMA National Chairperson's speech, Mr Freeman Mbowe, yet until now theres nothing..??
 
Mh. Mbowe mwanasiasa makini sana !! Tunangoja kwa hamu tusikie anatuambia nini, kikubwa tunatakiwa kusikia ni kuungana kwa pamoja na kuanza mapambano mapya ya kudai TUME HURU YA UCHAGUZI..!!
Tafadhali msianze kuleta mikosi na uchuro kwenye kudai tume huru ya uchaguzi! Maana nyie CHADEMA hamna kitu chochote mlicho wahi kudai mkapata! Msituletee uchuro. Mlidai corona ikatoweka, mkadai watu wataokotwa wamekufa mitaani kama utitili haikutokea! Hivyo achana na kudai tume huru, mnaweza kutukosesha.
 
Hotuba nzuri mno iliyojaa busara...wazee mmesikia? Viongozi wa dini mmesikia?

Mwalimu alituasa nanukuu " Kwa katiba hii ukimpata Rais asiye mwaminifu anaweza kuwa dikteta "

Nimeyakubali maneno haya asilimia mia.
 
Back
Top Bottom