Tanganyika mumeshindwa nini kurekebisha katiba mkawa na serikali ya kitaifa kw mshindi 2., Ndio mana tunasems mumepwaya hamujalifikia hilo, Zanzibar wameweza kushawishi angalau kufikia hayo mafanikio ya serikali ya kitaifa.. ndio mana pia tunasems Chadema hawakuwa na plan BRejelea marekebisho ya katiba ya Zanzibar yaliyofanyika hapo 2010 katika kugawana madaraka raia walikubali anaefuatia kwa kura nyingi atakua makamu wa rais vyama vya siasa vinalijua hilo.