Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,705
- 4,703
Vipi angalau ana digrii ya chuo, au bado elimu ni ile ile! Siyo kila mtu atuhutubie bhana!Mwenyekiti wa @ChademaTz Taifa, Mhe. @freemanmbowetz leo Jumapili, Januari 3, 2021, atazungumza na Watanzania kupitia hotuba atakayoitoa kwa Taifa na kurushwa moja kwa moja kupitia mitandao ya kijamii (YouTube, Twitter na Instagram), kuanzia saa 1.00 jioni.
Stay tuned!