crazy man
Senior Member
- Feb 15, 2017
- 186
- 184
coward
Yupo mmoja tu anayeweza zungumza na Watanzania wote moja kwa moja na anaenda kwa jina la Daktari John Pombe Joseph Magufuli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
coward
Yupo mmoja tu anayeweza zungumza na Watanzania wote moja kwa moja na anaenda kwa jina la Daktari John Pombe Joseph Magufuli.
Anaweza kuzungumza au anaweza kuhutubia/kuhubiri? Kuzungumza ni majibizano baina ya mtu zaidi ya mmoja. Afanyacho huyo jiwe ni kuhutubia, hana tofauti na mtangazaji wa redio au TV.Yupo mmoja tu anayeweza zungumza na Watanzania wote moja kwa moja na anaenda kwa jina la Daktari John Pombe Joseph Magufuli.
Chadema imepwaya sana hawakuwa na plan B., Kule Zanzibar ACT na maalim seif wameula
Mwenyekiti wa @ChademaTz Taifa, Mhe. @freemanmbowetz leo Jumapili, Januari 3, 2021, atazungumza na Watanzania kupitia hotuba atakayoitoa kwa Taifa na kurushwa moja kwa moja kupitia mitandao ya kijamii (YouTube, Twitter na Instagram), kuanzia saa 1.00 jioni.
Stay tuned!
Kumekucha !Mwenyekiti wa @ChademaTz Taifa, Mhe. @freemanmbowetz leo Jumapili, Januari 3, 2021, atazungumza na Watanzania kupitia hotuba atakayoitoa kwa Taifa na kurushwa moja kwa moja kupitia mitandao ya kijamii (YouTube, Twitter na Instagram), kuanzia saa 1.00 jioni.
Stay tuned!
Hivi ni kweli huyo bwana ni mwizi wa kura?Yupo mmoja tu anayeweza zungumza na Watanzania wote moja kwa moja na anaenda kwa jina la Daktari John Pombe Joseph Magufuli.
Mmm! Mkuu, sio bure una pepo la chuki wewe, unahtaj maombia.k.a jiwe,mhutu,shetani,msema kweli mpenzi wa mungu,laghai, mla rambi rambi! Jitu katili na roho mbaya!
Kakuuliza nani?Yupo mmoja tu anayeweza zungumza na Watanzania wote moja kwa moja na anaenda kwa jina la Daktari John Pombe Joseph Magufuli.
Kamwe Chadema haitashirikiana na ShetaniChadema imepwaya sana hawakuwa na plan B., Kule Zanzibar ACT na maalim seif wameula
Tafuta kazi atalialia sana bila sababua.k.a jiwe,mhutu,shetani,msema kweli mpenzi wa mungu,laghai, mla rambi rambi! Jitu katili na roho mbaya!
Chadema haijawahi kuwasaliti wapiga kura wake.Chadema imepwaya sana hawakuwa na plan B., Kule Zanzibar ACT na maalim seif wameula
Mwenye masikio na asikie.Anaongea na wanachama wa Chadema kitaifa au anaongea na Taifa? Kipi ni kipi?
Wewe una kazi gani zaidi ya kujikomba kwa jiwe? Sili kwako wala huli kwangu.Unanijua mimi??????Tafuta kazi atalialia sana bila sababu
Ile ya saa sita mchana ilikuwa ya Mwenyekiti wa Bavicha na ameshamaliza.Itakuwa ni saa 1 kweli boss? Maana ilisemekana ni leo saa 6 mchana. Naona cdm wana lile tatizo la waafrika la kutokujali muda, na kubadili badili ratiba mara kwa mara. Tunategemea hotuba yenye nguvu za hoja kama ilivyo kawaida ya cdm.
Tupige kura tuone kama atakubalika ! Bila NEC ya mahera hamna kitu hapo!Mmm! Mkuu, sio bure una pepo la chuki wewe, unahtaj maombi
Acha ushambenga, si ajabu mtandao ukazimwa.Cc: TBC
Yaani mkutano wa CCM ni kama shamba la migomba.Hekima aliyonayo huyu mtu ni zaidi ya viongozi1,000 wavaa majani