Mwenyekiti CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe kuongea na Taifa leo Jan 03, 2020 jioni

Mwenyekiti CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe kuongea na Taifa leo Jan 03, 2020 jioni

Inamaana mpaka Leo hii tv za ndani hazitaki kuonyesha hotuba za upinzani? Je chadema waliomba kulipia airtime wakanyimwa? Na Kama wamenyimwa sababu ni zipi? Na je ikiwa siku chadema ikakamata dola watakosea wakivipiga ban milele hivi vi tiviii uchwara? Mapito wanayopitia chadema ndio yanayowafanya wapendwe mno kuliko dola inavyofikiria.
 
long live Freeman.
FB_IMG_1595009729173.jpg
 
Mh. Mbowe mwanasiasa makini sana !! Tunangoja kwa hamu tusikie anatuambia nini, kikubwa tunatakiwa kusikia ni kuungana kwa pamoja na kuanza mapambano mapya ya kudai TUME HURU YA UCHAGUZI..!!
 
Mwenyekiti wa @ChademaTz Taifa, Mhe. @freemanmbowetz leo Jumapili, Januari 3, 2021, atazungumza na Watanzania kupitia hotuba atakayoitoa kwa Taifa na kurushwa moja kwa moja kupitia mitandao ya kijamii (YouTube, Twitter na Instagram), kuanzia saa 1.00 jioni.

Stay tuned!
We are eagerly tuned. Lumumba mpoo? Tunaomba TCRA wasitufanyizie kama ilivyotokea baada ya uchafuzi.
 
Mwenyekiti wa @ChademaTz Taifa, Mhe. @freemanmbowetz leo Jumapili, Januari 3, 2021, atazungumza na Watanzania kupitia hotuba atakayoitoa kwa Taifa na kurushwa moja kwa moja kupitia mitandao ya kijamii (YouTube, Twitter na Instagram), kuanzia saa 1.00 jioni.

Stay tuned!
Hivi kumbe Saa 1:00 huwa ni Jioni na siyo Usiku huo tayari?
 
Chadema imepwaya sana hawakuwa na plan B., Kule Zanzibar ACT na maalim seif wameula
Siku zote chadema hawana plan B,angalia ukuta,kata funua na upuuzi mwingine wanaopanga,yote yanafeli
Aliekuwa na Plan B ni Lissu,kukimbia kwenda kula michango ya kampeni kwa chama iliopitia mikononi mwake
 
Asiongee kwa makelele sana ,

Taratiibu tu tutamuelewa.
 
Back
Top Bottom