M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,027
singo ishachuja hii longi kitambo mbona?Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Tarime ahamia CCM akiongozana na wanachama 50.
Kasema 2015 wakati wa kura za maoni John Heche alituma watu wakamwagia sumu.
Na mwaka jana katika uchaguzi wa kanda ya Serengeti Heche alituma watu kumuua maana alikuwa upande wa Esther Matiko.
View attachment 1408577