Uchaguzi 2020 Mwenyekiti CHADEMA Wilaya ya Tarime ahamia Chama Cha Mapinduzi leo

Uchaguzi 2020 Mwenyekiti CHADEMA Wilaya ya Tarime ahamia Chama Cha Mapinduzi leo

Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Tarime ahamia CCM akiongozana na wanachama 50.

Kasema 2015 wakati wa kura za maoni John Heche alituma watu wakamwagia sumu.

Na mwaka jana katika uchaguzi wa kanda ya Serengeti Heche alituma watu kumuua maana alikuwa upande wa Esther Matiko.

View attachment 1408577
singo ishachuja hii longi kitambo mbona?
 
Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Tarime ahamia CCM akiongozana na wanachama 50.

Kasema 2015 wakati wa kura za maoni John Heche alituma watu wakamwagia sumu.

Na mwaka jana katika uchaguzi wa kanda ya Serengeti Heche alituma watu kumuua maana alikuwa upande wa Esther Matiko.

View attachment 1408577
Zamani nilidhani watu wa musoma wanamisimamo kumbe tofauti ni waganga njaa tu ndo maana hata maendeleo hakuna ni wale wale akina waitara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pale mnapozidi kumpa mtesi wenu nguvu siku mtakapojua mmekosea inakuwa too late ; mnadhani mnamkomoa mbowe ila kimsingi mnajikomoa wenyewe watanzania maana hata mama yako akipokonywa ardhi kesho na ikajengwa ofisi ya CCM hutakuwa na mtetezi endeleeni kuhamia ccm mtavuna mpandacho hata Mimi nawaunga mkono ikibidi wote nchi nzima tuhamie CCM HAKUNA shida!

Kuanzia kesho

Mbowe
Mnyika
Heche
Msigwa
Mdee
Bulaya
Matiko
SUGU
Sky eclat
Erthrocitye
Superbug


Wote sisi ni CCM.
Wengine NCCR buana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amechelewa kuhama huyu! Kunakucha ndo anavuta blanketi!
Mwenyekiti Wa Ccm Mkoa Wa Mara
Anasema Namnukuu:-
Alisema Habishani Na Watu Waliofika Bei 😅😄😃😀😁😂
Waitara Akiambiwa
 
Mlio karibu naye mwambieni aindoke na nkewe kabisa CDM haitaki virus....
 
Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Tarime ahamia CCM akiongozana na wanachama 50.

Kasema 2015 wakati wa kura za maoni John Heche alituma watu wakamwagia sumu.

Na mwaka jana katika uchaguzi wa kanda ya Serengeti Heche alituma watu kumuua maana alikuwa upande wa Esther Matiko.

View attachment 1408577
[emoji16][emoji16]ccm ndio chama kinacho ongoza kwa kujaa wajinga,wezi,malaya,mafisadi,wapumbavu,malofan.
Kauli kama hizi huwa wanazitoa wakiwa na haja kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pale mnapozidi kumpa mtesi wenu nguvu siku mtakapojua mmekosea inakuwa too late ; mnadhani mnamkomoa mbowe ila kimsingi mnajikomoa wenyewe watanzania maana hata mama yako akipokonywa ardhi kesho na ikajengwa ofisi ya CCM hutakuwa na mtetezi endeleeni kuhamia ccm mtavuna mpandacho hata Mimi nawaunga mkono ikibidi wote nchi nzima tuhamie CCM HAKUNA shida!

Kuanzia kesho

Mbowe
Mnyika
Heche
Msigwa
Mdee
Bulaya
Matiko
SUGU
Sky eclat
Erthrocitye
Superbug


Wote sisi ni CCM.
[/QUOTE
Mkuu kuzira hakukusaidii chochote. Unachotakiwa kufanya ni kukiuliza chama chako, tatizo ni nini? Hizo mbwembwe zenu za vhama kikuu cha upinzani haziwasaidii. CUF nayo waliishawahi kuwa chama kikuu cha upinzani. Wako wapi sasa?
 
Kijana ukiweka kando ukabila na udini uliotangazwa na gwajima ni nani kati ya wafuatao anaweza kupigia kura ccm........
1. Wakulima
2. Wafanyakazi
3. Wafanyabiashara
4. Wanafunzi
 
Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Tarime ahamia CCM akiongozana na wanachama 50.

Kasema 2015 wakati wa kura za maoni John Heche alituma watu wakamwagia sumu.

Na mwaka jana katika uchaguzi wa kanda ya Serengeti Heche alituma watu kumuua maana alikuwa upande wa Esther Matiko.

View attachment 1408577
Vibaraka ruksa kuhama. Ni muda tangu mamluki waanze kutangatanga lakini CDM bado ipo inadunda.
 
Back
Top Bottom