singo ishachuja hii longi kitambo mbona?Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Tarime ahamia CCM akiongozana na wanachama 50.
Kasema 2015 wakati wa kura za maoni John Heche alituma watu wakamwagia sumu.
Na mwaka jana katika uchaguzi wa kanda ya Serengeti Heche alituma watu kumuua maana alikuwa upande wa Esther Matiko.
View attachment 1408577
Wamuweke karantini ya nccr kwanza covid ikipita ndo aingie ccmAmechelewa kuhama huyu! Kunakucha ndo anavuta blanketi!
Zamani nilidhani watu wa musoma wanamisimamo kumbe tofauti ni waganga njaa tu ndo maana hata maendeleo hakuna ni wale wale akina waitaraMwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Tarime ahamia CCM akiongozana na wanachama 50.
Kasema 2015 wakati wa kura za maoni John Heche alituma watu wakamwagia sumu.
Na mwaka jana katika uchaguzi wa kanda ya Serengeti Heche alituma watu kumuua maana alikuwa upande wa Esther Matiko.
View attachment 1408577
Wengine NCCR buanaPale mnapozidi kumpa mtesi wenu nguvu siku mtakapojua mmekosea inakuwa too late ; mnadhani mnamkomoa mbowe ila kimsingi mnajikomoa wenyewe watanzania maana hata mama yako akipokonywa ardhi kesho na ikajengwa ofisi ya CCM hutakuwa na mtetezi endeleeni kuhamia ccm mtavuna mpandacho hata Mimi nawaunga mkono ikibidi wote nchi nzima tuhamie CCM HAKUNA shida!
Kuanzia kesho
Mbowe
Mnyika
Heche
Msigwa
Mdee
Bulaya
Matiko
SUGU
Sky eclat
Erthrocitye
Superbug
Wote sisi ni CCM.
Mwenyekiti Wa Ccm Mkoa Wa MaraAmechelewa kuhama huyu! Kunakucha ndo anavuta blanketi!
Vipi Mzee wetu Mangula anaendeleajeInaonekana huko Chadema kuuwana ni jambo la kawaida kabisa......mtu anatamka tu eti " fulani alitaka kuniua"
Kwanini hukuripoti polisi?!!
[emoji16][emoji16]ccm ndio chama kinacho ongoza kwa kujaa wajinga,wezi,malaya,mafisadi,wapumbavu,malofan.Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Tarime ahamia CCM akiongozana na wanachama 50.
Kasema 2015 wakati wa kura za maoni John Heche alituma watu wakamwagia sumu.
Na mwaka jana katika uchaguzi wa kanda ya Serengeti Heche alituma watu kumuua maana alikuwa upande wa Esther Matiko.
View attachment 1408577
Mikusanyiko si hairuhusiwi?
Inaonekana huko Chadema kuuwana ni jambo la kawaida kabisa......mtu anatamka tu eti " fulani alitaka kuniua"
Kwanini hukuripoti polisi?!!
Ahahahahahahah! Hii taarifa niliisikia Jana sikuamini! Msaada wa misumari? Ahahahahahahah!Huu msaada kama wangetoa CCM wapinzani tungetoa sana povu.View attachment 1408624
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuzira hakukusaidii chochote. Unachotakiwa kufanya ni kukiuliza chama chako, tatizo ni nini? Hizo mbwembwe zenu za vhama kikuu cha upinzani haziwasaidii. CUF nayo waliishawahi kuwa chama kikuu cha upinzani. Wako wapi sasa?Pale mnapozidi kumpa mtesi wenu nguvu siku mtakapojua mmekosea inakuwa too late ; mnadhani mnamkomoa mbowe ila kimsingi mnajikomoa wenyewe watanzania maana hata mama yako akipokonywa ardhi kesho na ikajengwa ofisi ya CCM hutakuwa na mtetezi endeleeni kuhamia ccm mtavuna mpandacho hata Mimi nawaunga mkono ikibidi wote nchi nzima tuhamie CCM HAKUNA shida!
Kuanzia kesho
Mbowe
Mnyika
Heche
Msigwa
Mdee
Bulaya
Matiko
SUGU
Sky eclat
Erthrocitye
Superbug
Wote sisi ni CCM.
[/QUOTE
Kwahiyo amehama CHADEMA sababu ya Heche sio Chama na siku Heche akihamia CCM itakuwaje
Vibaraka ruksa kuhama. Ni muda tangu mamluki waanze kutangatanga lakini CDM bado ipo inadunda.Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Tarime ahamia CCM akiongozana na wanachama 50.
Kasema 2015 wakati wa kura za maoni John Heche alituma watu wakamwagia sumu.
Na mwaka jana katika uchaguzi wa kanda ya Serengeti Heche alituma watu kumuua maana alikuwa upande wa Esther Matiko.
View attachment 1408577
Chichiem wao ni antcorona[emoji23][emoji23]Mikusanyiko si hairuhusiwi?